lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Tumeshuhudia baadhi ya watangazaji wa Radio wakiandaa matamasha yao binafsi kuwatumia baadhi ya wanamziki kutumbuiza. Hivi hii inaruhusiwa na mabosi wao au inakua part ya mikataba yao na mara nyingi kama msanii fulani akiwazingua kutumbuiza kwenye matamasha yao basi atapigwa ban ya nguvu kwani nyimbo zake hazitapigwa daima.
Binafsi hawa watangazaji hawatakiwi kujihusisha na haya matamasha nadhani itakua nje ya majukumu yao pia kutopiga nyimbo za wasanii kwa kigezo cha kutowasupport kwenye maonesho yao ni unyonyaji mkubwa.
Jamani wadau mnalionaje hili
Binafsi hawa watangazaji hawatakiwi kujihusisha na haya matamasha nadhani itakua nje ya majukumu yao pia kutopiga nyimbo za wasanii kwa kigezo cha kutowasupport kwenye maonesho yao ni unyonyaji mkubwa.
Jamani wadau mnalionaje hili