jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Rais Samia ametujuza hivyo leo.
...kwamba wizi na umeanza kurejea kwa kasi katika Idara nyingi za Serikali.
...zaidi ametujuza hata wawekezaji waliokuwa katika hatua za mwisho kabisa za kumalizia taratibu za uwekezaji wameanza kusita!
Haya mambo yanahitaji mjadala mpana kwa maslahi ya Nchi.
...kwamba wizi na umeanza kurejea kwa kasi katika Idara nyingi za Serikali.
...zaidi ametujuza hata wawekezaji waliokuwa katika hatua za mwisho kabisa za kumalizia taratibu za uwekezaji wameanza kusita!
Haya mambo yanahitaji mjadala mpana kwa maslahi ya Nchi.