kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Mbona rahisi tu. Kama yeye ameamua kuendeleza umagufuli maneno ya nini? Afanye kama angalifanya magufuli. Awatumbue tu na kuwakabidhi kwenye vyombo vya haki.Rais Samia ametujuza hivyo leo.
...kwamba wizi na umeanza kurejea kwa kasi katika Idara nyingi za Serikali.
...zaidi ametujuza hata wawekezaji waliokuwa katika hatua za mwisho kabisa za kumalizia taratibu za uwekezaji wameanza kusita!
Haya mambo yanahitaji mjadala mpana kwa maslahi ya Nchi.
Kuendeleza sera za magufuli haihitaji maneno ila vitendo. Fisadi wakigundua samia ni mtu wa maneno tu fisadi watarejea tena kwa nguvu.