jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Sisi Mataga msimamo wetu ni wasukuma kwanza!sisi nyumbu msimamo wetu ni uhuru wa kuongea.
ujinga mtupu, ukabila kitu kibaya sana.Sisi Mataga msimamo wetu ni wasukuma kwanza!
Wasukuma kwanza!!!!ujinga mtupu, ukabila kitu kibaya sana.
Fumua mfumo mzima ndio suluhisho otherwise atakuwa anajitekenya na kucheka mwenyewe.Hawezi chukua hatua serious zaidi ya kuwaondoa tu katika nafasi zao.
Hii ndio michezo ya CCM.
Mama anacheka na nyani atavuna mizizi siyo mabua tena.nchi imejaa MANYANI. mama akicheka atavuna mabua. watu wanaiba utadhani wataishi milele.
siku hapa iletwe sheria ya Mchina tu. ukileta ubadhirifu kitanzi au mvua za maana jela na kufilisiwa.
Kigogo-Busisi iangaliwe upya.Sisi Mataga msimamo wetu ni wasukuma kwanza!