Hili lilikuwa tusi eti sasahivi ni sifa


Unaweza kumaliza utata huu kwa kunukuu maelezo yaliyoandikwa kwenye hiyo kamusi uliyonayo. Wengi wetu tuna kamusi za kiswahili - English!
 
Sasa hawa wasiojua kuwa 'nyoko' ni mama ni watu wa wapi hawa?

Mwingine kasema kabisa eti yeye ni mtu wa Pwani lakini hajawahi kulisikia hilo neno.

Asikutishe na neno mtu wa pwani, wengine hawajui kiswahili, uhenda ni mmasai aliyezaliwa pwani, So yuko sahihi.
 
Kwa waliosema nyoko ni mama wapo sahihi kwa tafsiri sahihi ya kamusi. Mimi kwa upande wangu nadhani neno MSHENZI ndio limebadilika maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…