Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,341
- 5,543
Faza, kama una kamusi ya Kiswahili hapo fungua halafu uangalie neno 'nyoko' uone fasili yake.
Mara nyingi watu tunapenda kusadiki kuwa tunakijua Kiswahili kwa sababu tu 'inaonekana' tunakiongea vizuri bila shida lakini msamiati wetu unakuwa si mpana kivile.
Kama una kamusi ya Kiswahili (inavyoelekea kuna watu wengi hawana kamusi za Kiswahili majumbani mwao) wewe litazame tu hilo neno uone.
Unaweza kumaliza utata huu kwa kunukuu maelezo yaliyoandikwa kwenye hiyo kamusi uliyonayo. Wengi wetu tuna kamusi za kiswahili - English!