Hili lilisemwa pale Tunduma: Eti msipowachagua wagombea wa chama changu sintoleta maji

Hili lilisemwa pale Tunduma: Eti msipowachagua wagombea wa chama changu sintoleta maji

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Hii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.

Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.

Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
 
Hii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.

Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.

Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Wewe ni msukuma-mrundi halafu mpumbavu na hatutaki kuongozwa na wasukuma warundi tena
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Wewe ndio unaonekana Huna akili
 
Hii ilikua 2020 wakati wa kampeni za urais wabunge na madiwani pale Tunduma. Ilikua hivi, wakati ngambo tu pale, hatua chache toka alipokua anafanyia kampeni pale kwenye mji wa nakonde pana maji safi ya baridi ya kunywa wazambia wanafurahia matunda ya kodi Yao. Na wakati mwingi watanzania nikiwemo tukivuka na madumu kwenda kudoea maji (kodi za wazambia) upande wa pili mpaka.

Bila aibu kabisa mchana kweupe kiongozi mkuu mgombea uraisi wa ccm bila kujali anavunja katiba ya inchi nakuondoa kabisa matumaini ya walipa kodi wa tunduma kueletewa maji na bila kujali hayo maneno ya aibu yanavuka na kusikika hadi upande wa zambia tunakodoea waji mgombea huyo bwana pombe alitamka kwamba wakazi wa tunduma wasipo chagua ccm hatokuja alete maji kwenye mji manaake bora tuendelee kudoea maji zambia (nakonde) ambako maji safi yapo tangu miaka ya themanini.

Mwendazake Mungu amlipe kadri ya matendo yoke.
Subiri wafuasi wake wakitoka lindoni huko kaburini chato waje kukushukia kama mwewe, usikimbie lakini[emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Wewe ndio mpumbavu wa mwisho, vyama vya siasa vipo kwa mujibu wa katiba na sheria na kila mtu ana uhuru na haki ya kuchagua mgombea na chama anachokipenda

Serikali kuwapelekea wananchi huduma ni wajibu sio ombi au huruma za mtawala ñdio maanaa kila mtu analipa kodi kuchangia maendeleo ya nchi

Sio lazima kila mtu ajue kwamba wewe ni mpumbavu jaribu kujistiri kilaza wewe
 
Ndi
Wewe ndio mpumbavu wa mwisho, vyama vya siasa vipo kwa mujibu wa katiba na sheria na kila mtu ana uhuru na haki ya kuchagua mgombea na chama anachokipenda

Serikali kuwapelekea wananchi huduma ni wajibu sio ombi au huruma za mtawala ñdio maanaa kila mtu analipa kodi kuchangia maendeleo ya nchi

Sio lazima kila mtu ajue kwamba wewe ni mpumbavu jaribu kujistiri kilaza wew
Kwanza ujijue wewe ni mpumbavu wa kwanza humu JF kwasababu unaongelea hoja hata huijui.
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Coment hii ni ya "Huyu ni debe tupu".Katiba yenu mumeweka wenyewe leo mtu Mjinga Mjinga anahubiri ubaguzi na cha ajabu kabsa wajinga jinga wenzake wanashabikia ubaguzi.
 
Hata Wanzibar hatukibali watuongoze. Kama huamini subiri Uchaguzi
Mkuu wa 2025.
Siamini siasa za bongo na siamini chama chochote kile.
Ila nakwambia kwa mfumo wa serikali iliopo, serikali hii ambayo rais anaweza amua lolote na wengine wakafyata mkia.
Hiyo 2025 hakuna kitu mtafanya, kama kawaida chama tawala watafanya lao na mtabaki kunung'unika.

Uchaguzi ujao kwa sheria zile zile mtaambulia patupu. Either sheria zibadilike, au tume iu dwe upya otherwise matokeo yakuwa yale yale.. hii ndio bongo bwana
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Mbususu
 
Kwahiyo ulitaka asemeje? Anamuombea kura mgombea wa chama chake. Nyie mumnyime, ila maji awaletee sio? Wewe ni mpumbavu mkubwa kama unaamini alivunja katiba. Tena ningelikuwa mimi Mgombea Urais mnamnyima wa Mgombea Ubunge wa cbama changu, sio tu sileti maji, bali ningewaamisha kama Wamasai wa Loliondo na kuigeuza Tunduma Hifadhi ya Wanyama!
Hoja za watoto wa shule
 
Back
Top Bottom