Hili lilisemwa pale Tunduma: Eti msipowachagua wagombea wa chama changu sintoleta maji

Mungu anatupenda watanzania.
Asante mungu kwa uliyotutendea hapo 17.3.
 
Alikuwa very low mind, halafu akakosa busara na hekima, na zaidi akawa katili, vyote hivyo halafu uchanganye na primitivity, halafu mtu wa namna hiyo akapewa madaraka ya juu kabisa, unategemea nini, zaidi ya vioja na mambo mengi ya hovyo?
 
Alikuwa ni mgonjwa wa akili, wengi hawakulibaini hilo mapema.
Aliwahi kupatiwa hata matibabu.

Lilikiwa jambo jema, Serikali kuweka wazi kuwa marehemu alikuwa mgonjwa wa akili. Hilo lingempa msamaha wa mambo yote ya hovyo aliyoyatenda.

Lakini wahusika wanaogopa kuweka wazi, maana tutawahoji, ilikuwaje waruhusu mgonjwa wa akili kuwa mgombea wa nafasi kubwa kama ile?
 

Ukiwa Na Chakula Chako Kitamu Huwezi Kumpa Mtoto Wa Jirani

Akiwa Kilosa Alimponda Mbunge Kumbe Ni Wa Ccm
Haa Akabadili Kauli Akasema Mbunge Hoyee
Na kusema "anafanya kazi nzuri Sana"
 
Mkuu kichwa changu nabebea "NYWELE" kwenda shule. Kichwa chako ubabebea "NYWERE"!
Wiki ya kwanza ya July uko kwenye zamu ya kulinda na kufanya ufanya usafi malaloni Burigi. Usikose fursa hii muhimu kwako ili uweze kujitambua.
 
Sahihi kabisa, hakutakuwa na jipya kabisa
 
Lakini twende mbele turudi nyuma, kuna mambo jiwe alifanya mazuri, japo alisema ni hela zake ffs! Tumepitia mengi kama taifa [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…