Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
Tokea Form 6 nimekua nikiwaza kujiajiri tuu, ila vile maisha ya kiyatima na kimaskini yamenichelewesha kidogo.
Ila nashukuru Mungu Nina miaka 30 na mambo yanaenda (I have started Small..!!).
Nilikuaga mwajiriwa wa private nikaenda serikalini, nikasoma na sasa ni Free soul..!!.
SHIDA IKO HIVI...
Tokea mwaka 2018 nyumbani (walezi) wamekua wakiniuliza ""UTAOA LINI?"" sijawahi kutoa jibu kwasababu ""HATA HUYO WA KUOA SINA..!!""
Nilikuaga na mmoja akazingua na kuniita "KAFIR"" sababu ya ukristo wangu japo nilimsaidia sanaa yule fala mpaka akawa na maisha poa.
ALINIFANYA NIPOTEZE HAMU YOTEE NA LADHA YA KOA au KUISHI NA MWANAMKE PAMOJA TENA.
Tokea jambo litokee ni miaka 5 ila SIJAWAHI TENA KUWAZA.
Kuwaambia nyumbani kuwa SINA MPANGO wa kuoa naogopa maana walezi wangu kila Siku wanaongelea ""Marehemu wazazi wangu wanahitaji kuoana wajukuu wakiwa hukohuko peponi..!!""
Halafu huwa nawaheshimu sanaa walezi wangu, maana bila wao NISINGEKUA HAPA KABISAA.
Naogopa kuwavunja moyo na ukicheki ni wazee (60's).
Na sababu hasa ya KUDELETE KUOA ni..
1. Nimeamua kujiajiri kwa kuinvest.
Sasa najiuliza, Unajihangaisha mwenyewe na kupata mali kiasi, halafu unaoa.
Huyo mke baada ya miaka kadhaa anakwambia tuachane..
YAANI MALI NILIZOTAFUTA MWENYEWE KWA MIAKA ZAIDI YA 5 LEO NIGAWANE NA MTU KISA NI MKE WANGU?
•Juhudi zangu zote ziishe kirahisi hivi, KISA NDOA?
2. Wanaonizunguka asilimia kubwaa wanalia na MATESO YA NDOA ZAO.
Hawa walezi wangu sometimes ni wasuluhishi na huwa wananishirikisha nitoa mawazo yangu.
•SASA WANATAKA NA MIMI YANIKUTE AU..??
3. Nimezoea maisha ya ubachelor na free soul.
Tokea nitoke home kwenda kusoma Diploma mpaka sasa Nina Masters of Science in ..... maisha yangu ni kutembea na kuzurula tu mikoani.
Sasa nioe halafu vile nianze kuomba ruhusa kwa mke wakati mi nishazoea nikiwa bored huwa naenda stendi kukata tiketi halafu ndukii...
Sijawahi KUAGA zaidi ya KUTOA TAARIFA kwa watu wa karibu sana ila SIO KUOMBA RUHUSA.
•Sasa nikishaoa si ndio vile unaanza kuomba ruhusa, kunegotiate na mambo kama hayo na Huyo mke!
4. Kama yule dada nilimkuta na stress za un-employment, nikajihangaisha mpaka akapata maisha.
Ila malipo yalikua ni kuitwa KAFIR kisa UKRISTO WANGU na mema yoteee yalisahaulika.
•Sasa Huyo ajae nae si mwanamke kama yule tu?
Najua...
KUOA NI MUHIMU, FAMILIA NI LAZIMA ila MOYO UMEGOMA KABISAAA.
Nakumbuka mwaka 2018 nilijiwekea malengo "Nikifika 2020 lazima niwe na MCHUMBA au NDOA.
Ila hata DALILI SINA..!!
Sometimes kuna kitu ndani kinaniambiaga ""Ole wako ujaribu, You will doomed""
USHAURI TAFADHALI?
Hebu MLIOA naombeni USHAURI na TECHNICS mlizotumia kuondoa hii COMPLEXITY FEAR ya haya maisha..!!!
KUOA NATAMANI ila ""....…..hiii bagosha (in JPM voice)""
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Ila nashukuru Mungu Nina miaka 30 na mambo yanaenda (I have started Small..!!).
Nilikuaga mwajiriwa wa private nikaenda serikalini, nikasoma na sasa ni Free soul..!!.
SHIDA IKO HIVI...
Tokea mwaka 2018 nyumbani (walezi) wamekua wakiniuliza ""UTAOA LINI?"" sijawahi kutoa jibu kwasababu ""HATA HUYO WA KUOA SINA..!!""
Nilikuaga na mmoja akazingua na kuniita "KAFIR"" sababu ya ukristo wangu japo nilimsaidia sanaa yule fala mpaka akawa na maisha poa.
ALINIFANYA NIPOTEZE HAMU YOTEE NA LADHA YA KOA au KUISHI NA MWANAMKE PAMOJA TENA.
Tokea jambo litokee ni miaka 5 ila SIJAWAHI TENA KUWAZA.
Kuwaambia nyumbani kuwa SINA MPANGO wa kuoa naogopa maana walezi wangu kila Siku wanaongelea ""Marehemu wazazi wangu wanahitaji kuoana wajukuu wakiwa hukohuko peponi..!!""
Halafu huwa nawaheshimu sanaa walezi wangu, maana bila wao NISINGEKUA HAPA KABISAA.
Naogopa kuwavunja moyo na ukicheki ni wazee (60's).
Na sababu hasa ya KUDELETE KUOA ni..
1. Nimeamua kujiajiri kwa kuinvest.
Sasa najiuliza, Unajihangaisha mwenyewe na kupata mali kiasi, halafu unaoa.
Huyo mke baada ya miaka kadhaa anakwambia tuachane..
YAANI MALI NILIZOTAFUTA MWENYEWE KWA MIAKA ZAIDI YA 5 LEO NIGAWANE NA MTU KISA NI MKE WANGU?
•Juhudi zangu zote ziishe kirahisi hivi, KISA NDOA?
2. Wanaonizunguka asilimia kubwaa wanalia na MATESO YA NDOA ZAO.
Hawa walezi wangu sometimes ni wasuluhishi na huwa wananishirikisha nitoa mawazo yangu.
•SASA WANATAKA NA MIMI YANIKUTE AU..??
3. Nimezoea maisha ya ubachelor na free soul.
Tokea nitoke home kwenda kusoma Diploma mpaka sasa Nina Masters of Science in ..... maisha yangu ni kutembea na kuzurula tu mikoani.
Sasa nioe halafu vile nianze kuomba ruhusa kwa mke wakati mi nishazoea nikiwa bored huwa naenda stendi kukata tiketi halafu ndukii...
Sijawahi KUAGA zaidi ya KUTOA TAARIFA kwa watu wa karibu sana ila SIO KUOMBA RUHUSA.
•Sasa nikishaoa si ndio vile unaanza kuomba ruhusa, kunegotiate na mambo kama hayo na Huyo mke!
4. Kama yule dada nilimkuta na stress za un-employment, nikajihangaisha mpaka akapata maisha.
Ila malipo yalikua ni kuitwa KAFIR kisa UKRISTO WANGU na mema yoteee yalisahaulika.
•Sasa Huyo ajae nae si mwanamke kama yule tu?
Najua...
KUOA NI MUHIMU, FAMILIA NI LAZIMA ila MOYO UMEGOMA KABISAAA.
Nakumbuka mwaka 2018 nilijiwekea malengo "Nikifika 2020 lazima niwe na MCHUMBA au NDOA.
Ila hata DALILI SINA..!!
Sometimes kuna kitu ndani kinaniambiaga ""Ole wako ujaribu, You will doomed""
USHAURI TAFADHALI?
Hebu MLIOA naombeni USHAURI na TECHNICS mlizotumia kuondoa hii COMPLEXITY FEAR ya haya maisha..!!!
KUOA NATAMANI ila ""....…..hiii bagosha (in JPM voice)""
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!