Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Wafu hawana uwezo wa kuona wala kutenda mtu akifa ndo kaenda mazima mpaka kristo atakaporudi ndipo parapanda italia na makaburi ya walio mema yatafunguliwa.

Pili kuhusu kuoa: suala hili lilikuwa na umuhimu zamani kwa sasa ni kupoteza muda na rasilimali madada wanaingia kwenye ndoa kama kitega uchumi japo sio wote akishaona mali zimekuwa nyingi wanaachika ili mgawane 50 / 50 kisheria

ushauri wangu: tafuta pesa wekeza sana achana na ndoa kwanza umri wako bado mdogo tafuta pesa wekeza sana achana na wanawake
Umri mkubwa wa kuoa ni UPI?

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Tatizo ni ubahiri na kukosa mifano bora ya ndoa kwenye maeneo yako( jamii unayoishi) bila shaka uko Iringa, Manyara au Pwani.
Kuna utofauti kati ya MISER na ECONOMIST.

I think am ECONOMIST.

Na majanga ya NDOA yapo kila sehemu mpaka social media..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Nani kakuambie uzae? Halafu tukishazaa nitakuwa natiwa na nani? Au ndo nipambane kuzeeka na genye zangu? Au ndo mzazi mwenzako nianze kuhangaika kwa Serengeti boys mabodaboda?
Nimeambiwa nizaee tuu mchumba..
Njoo basi TUZAE THREE..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Usioe mkuu...narudia tena USiOE! Kama watoto tafuta demu piga mimba leo watoto..pambana na life lako as long as unafurahia unachokifanya.... hakuna furaha kwenye kuoa mkuu..belive me!
Nimeshika hapa. ""..... hakuna furaha""

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Hivi upate ndoa bora na familia yenye furaha. Huwaze kuachika ili upate 50/50?, inaingia akilini kweli?. Atakuwa mpumbavu huyo mwanamke atakayevunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.

Achana na uoga, na usichague mwanamke tu alimradi ni bora mwanamke. Chagua mwanamke bora na mwenye tabia njema, ambaye unajua apa kweli nimepata mke na najivunia. Wanawake wote si sawa. Na ndoa zinatofautiana mkuu. Na ww pia ujihakikishie kuwa tabia yako ni njema na utammudu mkeo. Achana na uzinzi na hao wanaokushauri zaa tu.
Tatizo hao wanawake sijui wapo QUARANTINE...

Mtaani hawapo KABISAA.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Ni ujinga na upumbavu kwa mwanaume kutafuta hela miaka mingi tena kwa nguvu halafu huna mke au watoto wa kuzitumia.
Kwani mke anapatikanaje?

Maana hawa wa mtaani ni wake za watu ila wanaliwa kimasihara na mabaharia single na wengine wameolewa kufata Mali tuu mpaka kwa kutumia dawa za waganga.

Sasa na Mimi nikioa si mabaharia watakua wanapinduka na mke wangu halafu waje kuanzisha nyuzi humu..!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Kama Bado huna mchumba, usiharakishe.
Ukiamua kuoa, Oa mwanamke anaekupenda, sio unaempenda wewe, akikuheshimu na kukujali utamthamini tu.
Dhumuni la ndoa ni kukamilishana katika madhaifu yetu,maana hakuna aliekamilika, ukiona ndoa imedumu ujue kuna mmoja kajifanya fala kumlindia mwenzake heshima.
Ndoa sio Mali tu, kuna mengi ya kusaidiana na kushirikishana.

Mimi ni kijana wa umri wako, miaka 5 kwenye ndoa na sijawahi kujuta.
 
Oa wewe Mengi ndo bilionea na alioa wee na tuhela twako twa kununulia vibambala na nyanya chungu vinakutia wazimu.
Find a woman and get married.
Kwani mke anapatikanaje?

Maana hawa wa mtaani ni wake za watu ila wanaliwa kimasihara na mabaharia single na wengine wameolewa kufata Mali tuu mpaka kwa kutumia dawa za waganga.

Sasa na Mimi nikioa si mabaharia watakua wanapinduka na mke wangu halafu waje kuanzisha nyuzi humu..!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Nani kakuambie uzae? Halafu tukishazaa nitakuwa natiwa na nani? Au ndo nipambane kuzeeka na genye zangu? Au ndo mzazi mwenzako nianze kuhangaika kwa Serengeti boys mabodaboda?
•Nani kakuambie uzae? = WATOA COMMENTS

•Halafu tukishazaa nitakuwa natiwa na nani? = MA X MTAKUA MKIPASHA KIPORO, au UTA CONCENTRATE NA KUTAFUTA PESA.

•Au ndo nipambane kuzeeka na genye zangu? = HILI NI PM TAFADHALI.

Au ndo mzazi mwenzako nianze kuhangaika kwa Serengeti boys mabodaboda? = WAKE ZA WATU WAPO KWENYE NDOA NA BADO WANAHANGAIKA NJE.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Hiyo point ya tatu mzee ndio ata mie inanipaga shida nikiwaza suala la ndoa... Ukiwa bachela yaani wee unajiwazia wewe tuu... Leo nikiamua kwenda kokote nitakako sina haja ya kuaga mtu..... Giving up that freesom kwa kweli huyo mwanamke sijui awe special kivipi yaani.
 
Kama Bado huna mchumba, usiharakishe.
Ukiamua kuoa, Oa mwanamke anaekupenda, sio unaempenda wewe, akikuheshimu na kukujali utamthamini tu.
Dhumuni la ndoa ni kukamilishana katika madhaifu yetu,maana hakuna aliekamilika, ukiona ndoa imedumu ujue kuna mmoja kajifanya fala kumlindia mwenzake heshima.
Ndoa sio Mali tu, kuna mengi ya kusaidiana na kushirikishana.

Mimi ni kijana wa umri wako, miaka 5 kwenye ndoa na sijawahi kujuta.
Amen.
Mungu aibariki na kuiongoza ndoa yako.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Oa wewe Mengi ndo bilionea na alioa weeww tuhela twako twa kununulia vibambala na nyanya chungu vinakutia wazimu.
Find a woman and get married.
I will you..
I WILL MARRY YOU..!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Wewe nae umezeeka tafuta mke uoe
Hiyo point ya tatu mzee ndio ata mie inanipaga shida nikiwaza suala la ndoa... Ukiwa bachela yaani wee unajiwazia wewe tuu... Leo nikiamua kwenda kokote nitakako sina haja ya kuaga mtu..... Giving up that freesom kwa kweli huyo mwanamke sijui awe special kivipi yaani.
 
Acha uoga..oa..mambo mengine ni matokeo tu.

Ila hiyo namba 1😂😂😂 wengi wangwaza hayo sidhani Kama wangeoa.
 
Hiyo point ya tatu mzee ndio ata mie inanipaga shida nikiwaza suala la ndoa... Ukiwa bachela yaani wee unajiwazia wewe tuu... Leo nikiamua kwenda kokote nitakako sina haja ya kuaga mtu..... Giving up that freesom kwa kweli huyo mwanamke sijui awe special kivipi yaani.
Giving up freedom imekua ngumuu..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Back
Top Bottom