Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Hivi upate ndoa bora na familia yenye furaha. Huwaze kuachika ili upate 50/50?, inaingia akilini kweli?. Atakuwa mpumbavu huyo mwanamke atakayevunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.

Achana na uoga, na usichague mwanamke tu alimradi ni bora mwanamke. Chagua mwanamke bora na mwenye tabia njema, ambaye unajua apa kweli nimepata mke na najivunia. Wanawake wote si sawa. Na ndoa zinatofautiana mkuu. Na ww pia ujihakikishie kuwa tabia yako ni njema na utammudu mkeo. Achana na uzinzi na hao wanaokushauri zaa tu.
wanawake wa aina hii wapo lakini ni asilimia 0.5% ......tafuta hela....weka binti ndani zaa hata watoto wawili ...msikilizie binti kama akizingua halafu watoto wameshakuwa wakubwa sukuma nje
 
Wewe nae umezeeka tafuta mke uoe
Mrembo..!!!

Kuachia Uhuru wako na kumkabithi MTU ratiba zako ni TABUU, It takes courage mama.

.....hiii bagosha.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Ndoa ni maelewano tu
Mkuu ndoa hazijaanza leo na zitaendelea kuwepo
Ndoa unaweza kudumu nayo kwa miaka mingi na ukafanya mambo yako bila kuingiliwa au control ya kutoka kwa mke wako
Wewe ndio baba na mme na ndio unaeongoza familia
Sasa kama umejiwekea woga kabla hautaweza kuoa kabisa
Furaha unajipa mwenyewe bwana
Niko kwenye ndoa miaka mingi sana na nikitaka kufanya kitu nafanya na mke ni kumuaga tu
Wewe ndio usukani halafu unaogopa matairi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Acha uoga..oa..mambo mengine ni matokeo tu.

Ila hiyo namba 1[emoji23][emoji23][emoji23] wengi wangwaza hayo sidhani Kama wangeoa.
Tatizo sio kuoa..

•Hata kupata Huyo mke TABUUU
•I love my freedom..!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
wanawake wa aina hii wapo lakini ni asilimia 0.5% ......tafuta hela....weka binti ndani zaa hata watoto wawili ...msikilizie binti kama akizingua halafu watoto wameshakuwa wakubwa sukuma nje
Counter attack..!!!
Kulea watoto NJE ya ndoa SIO ISHU..

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Ndoa ni maelewano tu
Mkuu ndoa hazijaanza leo na zitaendelea kuwepo
Ndoa unaweza kudumu nayo kwa miaka mingi na ukafanya mambo yako bila kuingiliwa au control ya kutoka kwa mke wako
Wewe ndio baba na mme na ndio unaeongoza familia
Sasa kama umejiwekea woga kabla hautaweza kuoa kabisa
Furaha unajipa mwenyewe bwana
Niko kwenye ndoa miaka mingi sana na nikitaka kufanya kitu nafanya na mke ni kumuaga tu
Wewe ndio usukani halafu unaogopa matairi


Sent from my iPhone using Tapatalk
Amen.
Mungu aibariki ndoa yako.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
wanawake wa aina hii wapo lakini ni asilimia 0.5% ......tafuta hela....weka binti ndani zaa hata watoto wawili ...msikilizie binti kama akizingua halafu watoto wameshakuwa wakubwa sukuma nje
Ndo ivyo mkuu tupo wachache. Mungu tu atusaidie
 
Usioe mkuu...narudia tena USiOE! Kama watoto tafuta demu piga mimba leo watoto..pambana na life lako as long as unafurahia unachokifanya.... hakuna furaha kwenye kuoa mkuu..belive me!
Mzee inaonekana ulipatwa na kitu fulani hivi mpaka unasema haya😁😁

Sema unafeli sana unaoa ili iweje? Unaoa ili upate msaidizi wa kulea watoto sio chanzo cha furaha au akusaidie kipato hapo ndo tunafeli
 
Mzee inaonekana ulipatwa na kitu fulani hivi mpaka unasema haya[emoji16][emoji16]

Sema unafeli sana unaoa ili iweje? Unaoa ili upate msaidizi wa kulea watoto sio chanzo cha furaha au akusaidie kipato hapo ndo tunafeli
Msaidizi si beki tatu wapo?
Wengi tu tumelelewa na beki 3.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Ila liver mna gundu hakyanani vile

Hata nature haitaki mchukue ubingwa
WHO ndio washamba..
Eti league zifutwe..!!

Ndoo lazima tubebe.

Wanaboa..

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Back
Top Bottom