Hivi upate ndoa bora na familia yenye furaha. Huwaze kuachika ili upate 50/50?, inaingia akilini kweli?. Atakuwa mpumbavu huyo mwanamke atakayevunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Achana na uoga, na usichague mwanamke tu alimradi ni bora mwanamke. Chagua mwanamke bora na mwenye tabia njema, ambaye unajua apa kweli nimepata mke na najivunia. Wanawake wote si sawa. Na ndoa zinatofautiana mkuu. Na ww pia ujihakikishie kuwa tabia yako ni njema na utammudu mkeo. Achana na uzinzi na hao wanaokushauri zaa tu.