Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Ninachoona wewe ni mbinafsi!
Samahani kama litakukera.
 
Hii ndo ile tunaitaga Paranoid Personality Disorder, yani typical kabisa.

Fanya haraka uende hospitali ukapate msaada wa mawazo.
Unforgetable
 
Hii ndo ile tunaitaga Paranoid Personality Disorder, yani typical kabisa.

Fanya haraka uende hospitali ukapate msaada wa mawazo.
Unforgetable
We umeoa?
..........
""PPD is a significant cause of disability in the United States. It can lower a person's quality of life and may also affect the lives of their family, friends, and co-workers. PPD can manifest in aggression and violence toward others. As a result, people with PPD may find themselves socially isolated and depressed."""
.….....…...
Mbona sina hata moja?

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Mzee inaonekana ulipatwa na kitu fulani hivi mpaka unasema haya😁😁

Sema unafeli sana unaoa ili iweje? Unaoa ili upate msaidizi wa kulea watoto sio chanzo cha furaha au akusaidie kipato hapo ndo tunafeli
Nimeona na nina familia mkuu...but siamini furaha kwenye kuoa...kuna mambo mengi sana tunasucrifise kwa ajili ya kufanya maisha ya songe kiasi kwamba nilipokuwa single ilikuwa tofauti...hivyo yaani.
 
Duh mkuu kuoa kwasasa sio inshu kabisa. Mimi hata nikioa, nitaangalia ninae muoa ana nini chaziada katika maisha yangu hasa rasilimali naikibidi yeye ndio awe na vingi zaidi yangu mimi ili badae badae akizingua basi asizingue kwasababu yamali zangu azingue kwamambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja dada.
Mtu kama huyu ni hatari sana.
Mbinafsi kiaje Sasa?
Kwani ni wangapi.....
1. wameingia kwenye ndoa zikawafilisi totally?
2. Wameingia kwenye ndoa wakagawana Mali na watalaka wao (50/50)?
3. Ni wangapi humu JF kila siku wanalalamika usaliti, na kutendwa na wenza wao kwenye ndoa?
4. Wangapi wanatoa nyuzi kuwa wamekula nyuchi za wake za watu, hao waume ZAO wanajua?
5. Wangapi humu wanaleta nyuzi za kujutia kuolewa au kuoa?
6. Wangapi humu wanalia na ndoa ZAO?
7. Na huko mtaani HUONI MATESO YA NDOA YANAYOENDELEA?

Then huoni nafanya RISK MANAGEMENT...!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Nimeona na nina familia mkuu...but siamini furaha kwenye kuoa...kuna mambo mengi sana tunasucrifise kwa ajili ya kufanya maisha ya songe kiasi kwamba nilipokuwa single ilikuwa tofauti...hivyo yaani.
Dah nasikia KIJISAUTI CHA MAJUTO MOYONI MWAKO.
ubachelor mtamu kiasi kumbe.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Nitakuja kuedit niandike.
Kwa sasa ninalala😍😍😍
Mbinafsi kiaje Sasa?
Kwani ni wangapi.....
1. wameingia kwenye ndoa zikawafilisi totally?
2. Wameingia kwenye ndoa wakagawana Mali na watalaka wao (50/50)?
3. Ni wangapi humu JF kila siku wanalalamika usaliti, na kutendwa na wenza wao kwenye ndoa?
4. Wangapi wanatoa nyuzi kuwa wamekula nyuchi za wake za watu, hao waume ZAO wanajua?
5. Wangapi humu wanaleta nyuzi za kujutia kuolewa au kuoa?
6. Wangapi humu wanalia na ndoa ZAO?
7. Na huko mtaani HUONI MATESO YA NDOA YANAYOENDELEA?

Then huoni nafanya RISK MANAGEMENT...!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Duh mkuu kuoa kwasasa sio inshu kabisa. Mimi hata nikioa, nitaangalia ninae muoa ana nini chaziada katika maisha yangu hasa rasilimali naikibidi yeye ndio awe na vingi zaidi yangu mimi ili badae badae akizingua basi asizingue kwasababu yamali zangu azingue kwamambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Is always about money..

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Back
Top Bottom