Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Halafu cha ajabu wanaozaliwaga NJE ya NDOA huwa wana toboa maisha NA wanajielewa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
Kama kina gigy money😂😂😂😎
 
Kama walezi wako umeshindwa kuuelewa ushauri wao hata hapa naamini hakuna utakae muelewa we endelea kuwa huru tu ila usinyetuke wala usiwe mzinifu maana ni dhambi na we ni mtu wa kanisa

Sent using GunTrigger
Maisha bila kunyandua ni SAWA NA ....!!!
Papuchi muhimu.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Hapana nakataa mkuu angalia namba yawaliotoboa hali yakuwa pangu pakavu then linganisha nawaupande wapili utapata jibu.

Hawa wachache waliotoboa hali yakuwa wametokea familia zisizo namisimamo tunawaadmire nakuwa promote kwasababu tunajua aso walizopitia.

Mifano ipo mingi sana angalia hata historia za viongozi wetu waliotuongoza nawanaotuongoza katika nafasi mbalimbali kuanzia serikalini mpaka sector binafsi wengi wao hawajatokea mtaani from no where. Wengi wao unaona kabisa kuna mazingira tayari alikuwa kaandaliwa nawazazi/mzazi wake.

Lengo langu nilitaka nikwambie kuwa, wachagulie watoto wako, kizazi chako mama anayestahili kuwa mama hata kama ukiamua uzae2. Na Mwanamke akishakuwa mama bora basi tayari anastahili kuwa mke bora.

Vuta subira wakati wako sio umri ukifika utaoa2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una akili sana...kuna wanawake ni wapambanaji na wanafaa kuwa wake bora sema ndo hivyo unakuta mwamba asiyetambua thamani yake kashamwaribia maisha😓
 
Mzee baba hata mchumba huna sasa utaoa nin[emoji16][emoji16] afu sio kila mwanaume ana hadhi ya kuoa,wengine muwe mnakuja kwa mashemeji mnapikiwa mnakula afu mkalale ghetoni
Dah katika kitu siwezi na sijawahi Fanya...

1. Kulala kwa shemeji
2. Kula kwa shemeji hii labda ikitokea kama accident.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Hongera kwa hilo Mkuu,furaha inaanzia kwako mwenyewe sio kwa mwenza wako so kama hauna furaha afu unaoa ili upate furaha it will never happen...
Amen.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Hapana nakataa mkuu angalia namba yawaliotoboa hali yakuwa pangu pakavu then linganisha nawaupande wapili utapata jibu.

Hawa wachache waliotoboa hali yakuwa wametokea familia zisizo namisimamo tunawaadmire nakuwa promote kwasababu tunajua aso walizopitia.

Mifano ipo mingi sana angalia hata historia za viongozi wetu waliotuongoza nawanaotuongoza katika nafasi mbalimbali kuanzia serikalini mpaka sector binafsi wengi wao hawajatokea mtaani from no where. Wengi wao unaona kabisa kuna mazingira tayari alikuwa kaandaliwa nawazazi/mzazi wake.

Lengo langu nilitaka nikwambie kuwa, wachagulie watoto wako, kizazi chako mama anayestahili kuwa mama hata kama ukiamua uzae2. Na Mwanamke akishakuwa mama bora basi tayari anastahili kuwa mke bora.

Vuta subira wakati wako sio umri ukifika utaoa2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amen.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Wanawake banaa...

Kwahiyo vile namtongoza namtafutia kazi hakuona ukafiri wangu...

Ila kwakua Sasa anakazi na mshahara kwa nguvu zangu ndio anauona ukafiri wangu... Mkiwaga na shida akili zinawatokaga au?

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1672999/

HEBU NIPE JIBU HII POST NILIYO ATTACH.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
Aisee unaonekana una moyo mdogo sana, sasa kumtafutia kazi tu hivyo unalalamikaa (sijui mshahara kwa nguvu zako wakati kazi anafanya yeye),je ungemsomesha? Wahenga wanasema "tenda wema nenda zako usingoje shukurani"
 
Kwli kabisa...hakuna kipya napata kwenye ndoa ambacho ningekikosa ningekuwa single...ndo maana namshauri jamaa kama ana fraha na life yake kama lilivyo asioee mkuu...
Amen.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Mzee ujana mbaya 30's hata mtoto huna unategemea uje upate mchumba uoe na uzae utakuwa 34...nimekutana na watu wengi waliofanikiwa kimaisha wanajuta kuchelewa kuoa na kuzaa angalia yasikukute kama hayo majuto
Maisha yanaanza na wewe..
Ishi kwanza wewe.

Sasa we unawatafutia watu hela sijui wasome na wale na waishi maisha bora.

JE WEWE UMEISHI YALE MAISHA ULIYOYAOTA?

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
Back
Top Bottom