Chindy
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 343
- 696
Kama kina gigy money😂😂😂😎Halafu cha ajabu wanaozaliwaga NJE ya NDOA huwa wana toboa maisha NA wanajielewa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kina gigy money😂😂😂😎Halafu cha ajabu wanaozaliwaga NJE ya NDOA huwa wana toboa maisha NA wanajielewa kuliko waliozaliwa kwenye ndoa..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Yeah, lakini kila kitu kina nafasi yake.Ni ukweli lakini au sio? Hata wew bila mpenzi au mwanaume si kuna happy life sio?
Wanawake banaa...Sasa unakufuru ulitaka usiambiwe kuwa u kafiri mwenye kukufuru?
Maisha bila kunyandua ni SAWA NA ....!!!Kama walezi wako umeshindwa kuuelewa ushauri wao hata hapa naamini hakuna utakae muelewa we endelea kuwa huru tu ila usinyetuke wala usiwe mzinifu maana ni dhambi na we ni mtu wa kanisa
Sent using GunTrigger
Ila mumewe asikukute...!!!Eeeh kumbe muke ya mutu... Duh!!!
Ah ila muke ya mutu mutamu bana.
Mkuu una akili sana...kuna wanawake ni wapambanaji na wanafaa kuwa wake bora sema ndo hivyo unakuta mwamba asiyetambua thamani yake kashamwaribia maisha😓Hapana nakataa mkuu angalia namba yawaliotoboa hali yakuwa pangu pakavu then linganisha nawaupande wapili utapata jibu.
Hawa wachache waliotoboa hali yakuwa wametokea familia zisizo namisimamo tunawaadmire nakuwa promote kwasababu tunajua aso walizopitia.
Mifano ipo mingi sana angalia hata historia za viongozi wetu waliotuongoza nawanaotuongoza katika nafasi mbalimbali kuanzia serikalini mpaka sector binafsi wengi wao hawajatokea mtaani from no where. Wengi wao unaona kabisa kuna mazingira tayari alikuwa kaandaliwa nawazazi/mzazi wake.
Lengo langu nilitaka nikwambie kuwa, wachagulie watoto wako, kizazi chako mama anayestahili kuwa mama hata kama ukiamua uzae2. Na Mwanamke akishakuwa mama bora basi tayari anastahili kuwa mke bora.
Vuta subira wakati wako sio umri ukifika utaoa2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiungia samaki ni balaaa..!!!Oh umetaja vibambala hadi tumbo limeshtuka
Atanipatia wapi wakati mie mzee wa kugegeda kwenye marimba ya mzungu tuu hapa.Ila mumewe asikukute...!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Dah katika kitu siwezi na sijawahi Fanya...Mzee baba hata mchumba huna sasa utaoa nin[emoji16][emoji16] afu sio kila mwanaume ana hadhi ya kuoa,wengine muwe mnakuja kwa mashemeji mnapikiwa mnakula afu mkalale ghetoni
Amen.Hongera kwa hilo Mkuu,furaha inaanzia kwako mwenyewe sio kwa mwenza wako so kama hauna furaha afu unaoa ili upate furaha it will never happen...
Ana jambo moyoni.Aisifuye mvua imemnyea[emoji23][emoji23][emoji23]
Starehe
Amen.Hapana nakataa mkuu angalia namba yawaliotoboa hali yakuwa pangu pakavu then linganisha nawaupande wapili utapata jibu.
Hawa wachache waliotoboa hali yakuwa wametokea familia zisizo namisimamo tunawaadmire nakuwa promote kwasababu tunajua aso walizopitia.
Mifano ipo mingi sana angalia hata historia za viongozi wetu waliotuongoza nawanaotuongoza katika nafasi mbalimbali kuanzia serikalini mpaka sector binafsi wengi wao hawajatokea mtaani from no where. Wengi wao unaona kabisa kuna mazingira tayari alikuwa kaandaliwa nawazazi/mzazi wake.
Lengo langu nilitaka nikwambie kuwa, wachagulie watoto wako, kizazi chako mama anayestahili kuwa mama hata kama ukiamua uzae2. Na Mwanamke akishakuwa mama bora basi tayari anastahili kuwa mke bora.
Vuta subira wakati wako sio umri ukifika utaoa2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee unaonekana una moyo mdogo sana, sasa kumtafutia kazi tu hivyo unalalamikaa (sijui mshahara kwa nguvu zako wakati kazi anafanya yeye),je ungemsomesha? Wahenga wanasema "tenda wema nenda zako usingoje shukurani"Wanawake banaa...
Kwahiyo vile namtongoza namtafutia kazi hakuona ukafiri wangu...
Ila kwakua Sasa anakazi na mshahara kwa nguvu zangu ndio anauona ukafiri wangu... Mkiwaga na shida akili zinawatokaga au?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1672999/
HEBU NIPE JIBU HII POST NILIYO ATTACH.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Amen.Kwli kabisa...hakuna kipya napata kwenye ndoa ambacho ningekikosa ningekuwa single...ndo maana namshauri jamaa kama ana fraha na life yake kama lilivyo asioee mkuu...
Shemeji yaani mke wa rafiki yako...Dah katika kitu siwezi na sijawahi Fanya...
1. Kulala kwa shemeji
2. Kula kwa shemeji hii labda ikitokea kama accident.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Maisha yanaanza na wewe..Mzee ujana mbaya 30's hata mtoto huna unategemea uje upate mchumba uoe na uzae utakuwa 34...nimekutana na watu wengi waliofanikiwa kimaisha wanajuta kuchelewa kuoa na kuzaa angalia yasikukute kama hayo majuto
Ndoa ni changamoto.Duu mkeo angeona hii comment angezimia[emoji849]