Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
- Thread starter
- #181
Yaani nimkane kristo kiss nyapu..!!!Mawazo mgando ndo mana ukaitwa kafiri 😂
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nimkane kristo kiss nyapu..!!!Mawazo mgando ndo mana ukaitwa kafiri 😂
Uthibitisho plz..Wanakasoro zao wanazozijua wao,wengine huwa ni miiko katika mafanikio yao
Mwanafunz bila kiboko hasomiKwa jinsi nilivyo angalia post zako nimeona NINYAMAZE maana kuna BAN.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Mtoa mada kwa jinsi ulivyojiaminisha akilini mwako kuhusu maswala mbalimbali ya maisha ya ndoa, mimi nimeoa lakini nakushauri USIOE, kwasababu tayari uko NEGATIVE kwenye maisha ya ndoa na hata ukioa hautakuwa POSITIVE. USIOE
Sent using Fly in any Weather.
Amen.
Ni kweli kabisa,huwezi mpata mke akawa na matarajio yako yote ya mke umtakaye,Ila kumpa mwanamke anaejielewa ni mtihani mgumu kuliko wa PCM form 6..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Wanasema MOST OF THE WOMEN ARE CRAZY DOGS...Ni kweli kabisa,huwezi mpata mke akawa na matarajio yako yote ya mke umtakaye,
Wapo ma Baharia walioa na wakawa na watoto ila WALIACHWA EMPTY..Mkuu hapo kwenye namba moja hapo duh naunga mkono ila sasa kama utakuwa una watoto nae sio mbaya kugawana.
Asante.kama unaona unauchungu na mali yako mzee siku izi kuna Prenup Agreements unamsainisha mwanamke
agreements zina declare kakukuta na mali kiasi gani so hii ata baadae haitakusumbua mahakamani....
wao wataangalia mali gani zilitokea baada ya nyinyi kuoana hizo ndo mna gawana...
mbona Simple tu
Sometimes NEGATIVITY PAYS.Watu huwa tunaongelea mabaya zaidi ya mazuri ko ndoa zina uzuri wake sema ukiamua kusikiliza na kufocus kwenye ubaya ndo hayo yanatokea
Kabisaaa jamani dear, mtu anawaza kuachana kabla hata hajaoaNaunga mkono hoja dada.
Mtu kama huyu ni hatari sana.
Hivi kwanini watu wakiongeaga ukweli huwa wanaomba msamaha? Kwanini ujisikie vibaya kwa kusema ukweli?Ninachoona wewe ni mbinafsi!
Samahani kama litakukera.
Kwa sababu watu hawapendi kuusikia ukweli! Na mimi napenda kusema ukweli ila sipendi kumuumiza mtu!Hivi kwanini watu wakiongeaga ukweli huwa wanaomba msamaha? Kwanini ujisikie vibaya kwa kusema ukweli?
Amen.Sometimes tu... Sema usitafute mke usije oa wa afadhali badala ya unae mridhia kisa tu unataka mke... Mi ningekua wewe ningeenda na flow tu
I manage RISK...Kabisaaa jamani dear, mtu anawaza kuachana kabla hata hajaoa