Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kuuza Uhuru...Ukiwaza kwamba ukioa mkiacha mke atadai mali na mtagawana na huku umechuma mwenyewe .hutaoa.Piga moyo konde na uoe.
Wengine tuna akili ndogo...Kwanini uruhusu watu wakuamulie maisha yako?
Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
Ukishalitambua hilo hata hupati taabu.
Fanya hivyo mkuu ila kamwe usifanye kitu usichokipenda. Ndoa siyo maji kwamba ukiyakosa unakufa.Ndio natafuta technics za kusema.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Ahahaha haya msubirie akupende sasa.Wanasema nimsubiri atakae nipenda ndio nioe... Sasa ndio namsubiri anipende tu kama ajali..!
Maana nikimpenda Mimi atanitesa na kujishaua..!!!
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Kwenye headline hivyohivyo kama wewe.
Amen.Fanya hivyo mkuu ila kamwe usifanye kitu usichokipenda. Ndoa siyo maji kwamba ukiyakosa unakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen.Ha
Ahahaha haya msubirie akupende sasa.
Kwa jinsi nilivyo angalia post zako nimeona NINYAMAZE maana kuna BAN.
Let ME wait..Kuna umri utakulazimu kufanya hivyo
Amen.Kwenye headline hivyohivyo kama wewe.
Ya kubadilisha dini yalishanishinda....Badili dini tuoane bro.
Sent From Galaxy S9
Ukifika 50 ni kilio cha kusaga menoLet ME wait..
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Bezos kakimbia ndoa...Ukifika 50 ni kilio cha kusaga meno
Wanakasoro zao wanazozijua wao,wengine huwa ni miiko katika mafanikio yaoBezos kakimbia ndoa...
Dangote kagoma kuoa
Ruge kafa bila ndoa
Gadina mpaka Leo hajaoa
Isack Newton alikufa bila ndoa.
Mapadre wotee hawaja oa..
LIVE YOUR LIFE.
#YNWA
Wrote from Anfield...!!!
Mawazo mgando ndo mana ukaitwa kafiri 😂Ya kubadilisha dini yalishanishinda....
Ex wangu bana! Mungu amsaidie tuu - JamiiForums
Wanasema mwanaume ndio wanafatwa = mwanamke ndio wa kubadili dini.
Karibu kwa Yesu TUONE..!!!
Wrote from Anfield...!!!