Hili limekaaje wadau, Hebu nipeni ushauri kuhusu hili jambo la ndoa

Nioe mimi, tukifunga ndoa tu tunaenda kwa wakili ukaandike nilichokukuta nacho ni vyako, mimi na wewe tutaanza tafuta vyetu, kuondoka bila kusema kwani utaenda bila kuandaliwa hata jamani? Bagosha!!
 
Ndoa ndoano..

Mnaoenjoy ndoa zenu bigup kwenu
 
Vya kugoogle changanya na zako.



Unforgetable
 
First year huwa mnasumbua Sanaa.. Hamna utofauti na form one au form 5.
Ngoja chuo kifunguliwe mpungue humu.
Mrudishie lecturer notes zake.
Reading threatening meanings into benign events

Sifa moja ya mtu mwenye mental disorder ni denial. Yani hata umuambie una tatizo yeye atakuambia niko sawa.

Pia wana defence mechanism, na denial is the first in the list. Na umemanifest bila wasiwasi.

Umesema hauna PPD, nimekuletea evidence unasema eti ni za first year which is bluffing. Hata kama zingekuwa ni za chekechea hazifanyi ww uliye na miaka 30 usifit, umefit kikamilifu kabisa.

Kwa hiyo mkuu take actions. Remember the first step towards healing is acceptance.
 
Umekula mchana?

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
I always AGREE to DISAGREE...

Kula Sanaa malimao yanakinga CORONA.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
fanya kitu
fanya kitu moyo unapenda huwez jua! maana sidhan kma wote ulimwengun tutaoa au kuolew..
 
Hapo cha muhimu bro ni kuangalia malengo yako yamefika wapi...kama yamefika stage ambayo inaruhusu ....tafuta mtu ila muda wa kudate inatakiwa uwe conscious saana usichukulie poa ht kitu kiwe kidog saana na jipe mida wa kutosha ubaya au uzur wa hyo mtu utaujua tu kama ukijipa muda wa kutosha mtu hawezi vaa mask muda mrefu....utapata ambae mnaendana tu hamtafikia kugawana mali naamin
 
Liverpool VPN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…