GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sasa kwanini Samaki Samaki Harufu FC hawajawa nafasi ya Kenda ( Tisa ) hapo kama Simba SC? Tatizo ni nini?Kabla nafasi 75 point 0.5
Baada nafasi ya 18 point 20
Kila michuano ya CAF ina thamani yake japo hadhi zinatofautiana.
View attachment 2738527View attachment 2738528
Aliroga Chenge bungeni, kwenye meza na viti wanavyokaa waheshimiwa, itakuwa Simba kwenye uwanja wenye nyasi na majasho ya wachezaji?Kwa mujibu wa CAF heshima ya Simba iko palepale kama timu inayo ongoza kwa matukio mengi yanayo husisha ushirikina dhidi ya Timu pinzani katika soka.
Kama ilo ni jambo la kujivunia basi kama Taifa hatuna budi matukio yote ya kishirikina yanayo wapa sifa kuyaweka makumbusho ya Taifa.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kumbe Mungu ni shabiki wa lunyasi aka msimbazi?😆😂Kumbe Five Five za Kubahatisha kwa Wasiojua Baharini FC pamoja na Kutamba Kwao kote wana miaka 25 hawajacheza Group Stage ya CAFCL?
Kuanzia leo nawavua Vyeo vyote nilivyokuwa nimewapa nibaki tu Kuiheshimisha Klabu ya Mwenyezi Mungu na yenye Baraka zake zote ya Simba Sports Club.
Na niwashauri tu Mashabiki wa hiyo Klabu ( niliyoisahau Jina kwa sasa ) kuwa popote pale wakijua wamekutana na Mashabiki wa Simba SC wawe Wapole na Wanyamaze kwani hawajafikia hata 50% tu ya Mafanikio yake na waiachie tu iendelee Kuiheshimisha Tanzania kama nchi na Watanzania Kimataifa na sasa katika Shindano jipya la African Football League ( AFL )