Mkuuu hapo mdau katoa maoni yake, kwani hao Yanga walioko kambini wapo chini ya Kocha yupi labda?Sijui unafikiri kutumia Nini...Yanga imeacha 14 na Simba haijaacha mchezaji??...kwenye mazoezi saa hizi Yanga inao wangapi na Simba wako wangapi...Yanga imesajili wangapi na wangapi wapo mazoezini mpaka Sasa...Simba imesajili wachezaji wangapi wa kigeni na wangapi wanatakiwa...stupid
Tumeipenda Wenyewe Wala Hatukuandikiwa Barua Acha Ituue ππππ ππππππWacha ituue tu.
Zimebaki siku 19 ligi ianze ,simba wako kambini yanga wanaokotana
Una mawazo Kama ya TFF...Leo wametoa taarifa kuwa Msola aliishutumu TFF kuhusu kutoshughulikia hoja ya Yanga kwamba Simba walimrubuni Morrison kabla ya mechi.Mkuuu hapo mdau katoa maoni yake, kwani hao Yanga walioko kambini wapo chini ya Kocha yupi labda?
Mkuu urefu wa andiko lako ni kielelezo tosha cha Malalamiko. See youUna mawazo Kama ya TFF...Leo wametoa taarifa kuwa Msola aliishutumu TFF kuhusu kutoshughulikia hoja ya Yanga kwamba Simba walimrubuni Morrison kabla ya mechi...lakini Msola alitoa shutuma nyingi siku ile Kama vile...kwenye kamati iliyomhukumu Morrison alikuwemo kiongozi wa Simba aliyemsainisha Morrison...kwamba kamati nyingi za TFF zimejaa watu wasiozingatia weledi...kwamba wajumbe wa kamati wanavujisha taarifa mbalimbali...haya TFF haikuzungumzia kwenye taarifa yao ya leo...na wewe kwenye andiko langu umechomoa hoja moja tu ya kocha...mambo Kama Simba imeacha wachezaji wangapi, imesajili wangapi wa kigeni na wanatakiwa wangapi, Simba in wangapi kambini hivi Sasa na Yanga wako wangapi kwa Sasa kambini...Yanga imesajili wangapi na wangapi wameripoti...haya yote hamtaki au hutaki kuzungumzis kwa kuwa mn aandika na unaandika kipropaganda...
Ni kweli...ni malalamiko...lakini sina uwezo wa kuyashughulikia...ila ni wazi walioko TFF kwa Sasa wengi wao ni wapuuzi....hawana weledi....ni aibu kwa taifa hili...wamechaguana tu kwenye kamati kwa kuisaidia tu timu moja..wanaua soka ya Tanzania...wanafaa kukamatwa wengi wao na kuswekwa ndani...Mkuu urefu wa andiko lako ni kielelezo tosha cha Malalamiko. See you
Kawaida ya wananchi huwa hawajui wanataka nini.ila wabishi kinoma.Yanga wabishi sana.
Inamaanisha Simba ikibebwa na marefa wapenzi wa michezo wasilalamike, uo upuuzi hau isaidii simba ila uko ambako Simba inakwenda itaendelea kutia aibu. Mwisho wake timu inafungwa 5,5,4 mfululizo.
Yanga wanachotakiwa wasikurupuke kusajili watulie wapate wachezaji wazuri watapata matokeo mazuri uwanjani. Yanga hawana sababu ya kukimbizana na Simba katika usajili kwakua tumeona sajili mbovu za kukurupuka zilizopita zilivyo igharimu timu.
Utaugua presha bure kwa kutarajia fisi adondoshe mfupaNa hii Simba ukiisha udhamini wa Sportpesa ndo basi tena mtaisikia kwa redio tu. maana Mo Dewji kwa kupenda sifa bila dau la bilioni 50 sijui. zitaanza sajili za bilioni 1 kwa mchezaji mmoja
Uneducated manyani na majibwa kuanzia mwenyekiti mpaka wanachama wa kawaidaUna mawazo Kama ya TFF...Leo wametoa taarifa kuwa Msola aliishutumu TFF kuhusu kutoshughulikia hoja ya Yanga kwamba Simba walimrubuni Morrison kabla ya mechi...lakini Msola alitoa shutuma nyingi siku ile Kama vile...kwenye kamati iliyomhukumu Morrison alikuwemo kiongozi wa Simba aliyemsainisha Morrison...kwamba kamati nyingi za TFF zimejaa watu wasiozingatia weledi...kwamba wajumbe wa kamati wanavujisha taarifa mbalimbali...haya TFF haikuzungumzia kwenye taarifa yao ya leo...na wewe kwenye andiko langu umechomoa hoja moja tu ya kocha...mambo Kama Simba imeacha wachezaji wangapi, imesajili wangapi wa kigeni na wanatakiwa wangapi, Simba in wangapi kambini hivi Sasa na Yanga wako wangapi kwa Sasa kambini...Yanga imesajili wangapi na wangapi wameripoti...haya yote hamtaki au hutaki kuzungumzis kwa kuwa mn aandika na unaandika kipropaganda...
Una uhakika na unayoyasema? Yanga ipo kambini Kama timu zote za ligi kuu zilivyo. Acha ushabikiZimebaki siku 19 ligi ianze ,simba wako kambini yanga wanaokotana
Ona huyu nyani Mwingine, hivi umeelewa kweli alichoandika mleta thread??Sijui unafikiri kutumia Nini...Yanga imeacha 14 na Simba haijaacha mchezaji??...kwenye mazoezi saa hizi Yanga inao wangapi na Simba wako wangapi...Yanga imesajili wangapi na wangapi wapo mazoezini mpaka Sasa...Simba imesajili wachezaji wangapi wa kigeni na wangapi wanatakiwa...stupid
Stupid....Anza Kwanza kumwambia baba yako aliyekuzaa...umwambie wewe nyani...halafu nenda kwa mama yako mwambie nyani...majibu yao ukiyapata uje utueleze humu...very stupid...stupid indeed...mtu mweusi kumwambia mwenzo nyani ..it reveals your level of education ..Ona huyu nyani Mwingine, hivi umeelewa kweli alichoandika mleta thread??
Linabwekabweka tu kama mbwa uneducatedOna huyu nyani Mwingine, hivi umeelewa kweli alichoandika mleta thread??
...πππMpaka sasa nishaona Simba inachukua tena Kombe la VPL
We bwege Sana weeeeManyani fc wanabaki kubweka tunasubiri anga lifunguliwe wakati wenzao vitu vinapishana, wakitaka wachezaji wazuri mara wapeleke milioni 20 wakiambiwa pesa hazitoshi wanataka kufoji mchezaji kama Soka wameshindwana dau wanamwambia ngoja asubiriwe kocha mpywa wakati wengine wamesajiliwa bila kocha mpywa kuwepo
Haikuhusu,fanya yakooooMkuuu hapo mdau katoa maoni yake, kwani hao Yanga walioko kambini wapo chini ya Kocha yupi labda?
Inamaanisha Simba ikibebwa na marefa wapenzi wa michezo wasilalamike, uo upuuzi hau isaidii simba ila uko ambako Simba inakwenda itaendelea kutia aibu. Mwisho wake timu inafungwa 5,5,4 mfululizo.
Yanga wanachotakiwa wasikurupuke kusajili watulie wapate wachezaji wazuri watapata matokeo mazuri uwanjani. Yanga hawana sababu ya kukimbizana na Simba katika usajili kwakua tumeona sajili mbovu za kukurupuka zilizopita zilivyo igharimu timu.