Hili mimi ntalisema Tu. Kama watanichukia wanichukie Potelea Mbali

Ungekuwa mtu basi ungejua kuitwa nyani haukubadilishi kitu,ila kwa vile unahisi we ni nyani ndio maana unatukana hovyo.Si ungemuita na yeye "Simba!"
 
Ungekuwa mtu basi ungejua kuitwa nyani haukubadilishi kitu,ila kwa vile unahisi we ni nyani ndio maana unatukana hovyo.Si ungemuita na yeye "Simba!"
Uwezo wako was kufikiri ni mdogo Sana...Kama ungekuwa makini, mwerevu na uliyeelimika, mwenye busara na hekima. Na mchambuzi wa mambo ungejua kuwa Mimi sijatukana...nimemwambia huyo aliyeniita nyani aanze Kwanza kuwatamkia hivyo baba na mama yake na majibu atakayopata kutoka kwa wazazi wake aje atufahamishe humu...na nikaendelea kusema kuwa kwa mtu mweusi kumuita mwenzie mweusi kuwa ni nyani ni kielelezo Cha kiwango duni Cha elimu...na kimsingi ni stupid ...and let me add to that ..ni stupid and an idiot at the same time...
 
Umeongea ktu saii sana ndg na mwisho wa siku ni kuishia malalamiko tajwa apo kwenye uzi wako hongera sana ndg kwa fkra chanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…