Hili ndilo andiko lililopelekea kufungiwa kwa Shafii Dauda aka DIGALa kujihusisha na soka kwa kipindi cha miaka 5

Hili ndilo andiko lililopelekea kufungiwa kwa Shafii Dauda aka DIGALa kujihusisha na soka kwa kipindi cha miaka 5

Bora kafungiwa kajamaa kanajifanya kanajua sana.
Alafu sehemu utajua shafii ana upeo mdogo huwezi walaumu gsm wawalipe fidia club, nawakati mkataba unasema timu zote zivae nembo ya gsm Simba wamegoma kwa hiyo mpaka hapo mkataba haujatekelezwa kwa hiyo gsm ana haki ya kujitoa sababu mkataba haujatekelezwa kulingana na makubaliano
 
Sasa nyie hapo juu matusi ya nini? Mmekosa hoja?
 
Back
Top Bottom