Hili ndilo jengo refu zaidi kwa makazi linalojengwa kwa mbao

Hili ndilo jengo refu zaidi kwa makazi linalojengwa kwa mbao

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao.

http___cdn.cnn.com_cnnnext_dam_assets_220420060918-04-tallest-timber-building.jpg

Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328).

Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa kujengwa katika jiji la Uswizi la Winterthur, ambalo liko karibu na Zurich.

Ubunifu huo utatoa makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu, kulingana na wabunifu wake.

NB. Hapa kwetu Tanzania hususani mkoani Iringa wilaya ya mufindi, wadau wa sekta ya misitu wa ndani na nje mlikutana kwenye kongamano kubwa la kimataifa la misitu, katika mijadara yenu mliongelea issues kama hizi, mwaka umeisha hatujasikia au kuona mfano wa kile mlichoambizana akiwepo waziri mkuu.

Mnakwama wapi?.
 
Mbao za bongo za miti ya kupanda amabyo inaoza baada ya miaka5 TU pamoja na kuwa treated

Kwabongo Hilo ghorofa linapoisha ndipo linapomoka
Mkuu kuna treatment zaidi ya ile tunayoweka kwenye mbao zetu inatumika.

Sababu kuna mbao tunasafirisha kwenda ng'ambo zinatumika kwenye ujenzi wa meli hata other hardest works.
 
Ujinga na Unafiki vina tumaliza sana wabongo

Kuna wakati unatamani uwe mzalendo lakini ghafla unasikia mtu kaiba billion 23 kodi za wananchi alafu anasema ni hela ya mboga

Kidogo tu mama anaupiga mwingi ila wakikaa chini wanaujua ukweli anazingua

#Tunapofeli no government encouragement kila mtu amekaa kimchongo
 
Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao.

View attachment 2197849

Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328).

Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa kujengwa katika jiji la Uswizi la Winterthur, ambalo liko karibu na Zurich.

Ubunifu huo utatoa makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu, kulingana na wabunifu wake.

NB. Hapa kwetu Tanzania hususani mkoani Iringa wilaya ya mufindi, wadau wa sekta ya misitu wa ndani na nje mlikutana kwenye kongamano kubwa la kimataifa la misitu, katika mijadara yenu mliongelea issues kama hizi, mwaka umeisha hatujasikia au kuona mfano wa kile mlichoambizana akiwepo waziri mkuu.

Mnakwama wapi?.
Huku kwetu tunaogooa mchwa watalishusha chini.
 
Mkuu kuna treatment zaidi ya ile tunayoweka kwenye mbao zetu inatumika.

Sababu kuna mbao tunasafirisha kwenda ng'ambo zinatumika kwenye ujenzi wa meli hata other hardest works.
Hilo ghorofa Kwa gharama zitazotumika bongo mkiambiwa mnajenga reli kupitia chini kwenda Zanzibar, Mafia. Pemba na Ukerewe
 
Hilo ghorofa Kwa gharama zitazotumika bongo mkiambiwa mnajenga reli kupitia chini kwenda Zanzibar, Mafia. Pemba na Ukerewe
Real ila kama mna kiongozi mwenye maamuzi magumu ambaye akisema tufanye hivi na mkafanya, basi hata sisi we can!.
 
Huo ndiyo ukweli.
Kwenye makongamano ya mambo ya misitu wawekezaji na wanunuzi wengi wa hizi kitu wanatoka nje ya nchi.

Unadhani kwa nini watu wanalazimisha kununua nguzo za stima kutoka nje?.
Lakini zonatoka tza kisha upelekwa nje kisha urudishwa tena tza kuuzwa
 
Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao.

View attachment 2197849

Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328).

Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa kujengwa katika jiji la Uswizi la Winterthur, ambalo liko karibu na Zurich.

Ubunifu huo utatoa makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu, kulingana na wabunifu wake.

NB. Hapa kwetu Tanzania hususani mkoani Iringa wilaya ya mufindi, wadau wa sekta ya misitu wa ndani na nje mlikutana kwenye kongamano kubwa la kimataifa la misitu, katika mijadara yenu mliongelea issues kama hizi, mwaka umeisha hatujasikia au kuona mfano wa kile mlichoambizana akiwepo waziri mkuu.

Mnakwama wapi?.
Watu washa piga night na allowances ilo ndio ilikua muhimu mkuu.
Saivi wanatafuta nyingine
 
Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao.

View attachment 2197849

Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328).

Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa kujengwa katika jiji la Uswizi la Winterthur, ambalo liko karibu na Zurich.

Ubunifu huo utatoa makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu, kulingana na wabunifu wake.

NB. Hapa kwetu Tanzania hususani mkoani Iringa wilaya ya mufindi, wadau wa sekta ya misitu wa ndani na nje mlikutana kwenye kongamano kubwa la kimataifa la misitu, katika mijadara yenu mliongelea issues kama hizi, mwaka umeisha hatujasikia au kuona mfano wa kile mlichoambizana akiwepo waziri mkuu.

Mnakwama wapi?.
Sio uswiz hio project ni Norway
 
Uswizi inatazamiwa kuwa ndiyo nchi ya kwanza duniani kuwa na jengo refu zaidi la makazi litakalojengwa kwa mbao.


Mradi huo uliopewa jina la Rocket & Tigerli, utajumuisha majengo manne likiwemo moja litakalokuwa na mnara wa urefu wa mita 100 (futi 328).

Ujenzi wa jengo hilo unatazamiwa kujengwa katika jiji la Uswizi la Winterthur, ambalo liko karibu na Zurich.

Ubunifu huo utatoa makazi ya kisasa, yenye ubora wa hali ya juu, kulingana na wabunifu wake.

NB. Hapa kwetu Tanzania hususani mkoani Iringa wilaya ya mufindi, wadau wa sekta ya misitu wa ndani na nje mlikutana kwenye kongamano kubwa la kimataifa la misitu, katika mijadara yenu mliongelea issues kama hizi, mwaka umeisha hatujasikia au kuona mfano wa kile mlichoambizana akiwepo waziri mkuu.

Mnakwama wapi?.
Ni uharibifu wa mazingira uliopindukia. Hakuna faida zaidi ya hasara
 
Back
Top Bottom