Hili ndilo pambano la Millenium

Hili ndilo pambano la Millenium

sasa mkuu ningesema sijajua ww ulionaje ila me naona alim mtoa jasho

G.O.M.D
Suala la kutoana jasho ni la kawaida tu.

Kumbuka Floyd aliingia akiwa ana rekodi ya 45-0-0 na Canelo ana rekodi ya 42-0-1 hapo unaona kabisa walikuwa wote wana rekodi nzuri.

Lakini Canelo akatandikwa vibaya sana mpaka akashindwa kuamini.

Na bado kidogo apigwe kwa K.O ila ukakamavu ndio uliomsaidia.
 
GGG ni mdogo sana kwa Mayweather.

Ricky Hotton alipanda ulingoni akiwa na rekodi ya kupambana mapambano 43 bila kupigwa wala kutoa sare lakini alipopambana na Floyd Mayweather alitandikwa knockout round ya kumi.


Hata Canelo naye alikuwa na rekodi ya kupambana mapambano 43 kashinda 42 katoa sare moja lakini alipokea kipondo kitakatifu kana kwamba hakuwahi kucheza ngumi hata siku moja.
mkuu hilo pambano niliangalia haikuwa kipondo kitakatifu
 
unajua ukishakuwa na mahaba na bondia flani unampuuza kabisa mpinzani wake, hili pambano lolote linaweza kutokea,kanelo sio wa kisportsport,
 
jamani huyu Triple G (GGG) ni mtu hatari hamna tena. Kuna wakati Mayweather alikuwa anachonga ngenga jamaa akasema kama anataka pambano lipigwe tuu. GGG alisema hamuogopi Mayweather na staili yake ya 'Ping Pong' yaani ya kigana kwa kuvizia. (GGG yeye hupigana kwa kwenda mbele tu huwa harudi nyuma) Hata hivyo, Mayweather Sr. (Baba wa Mayweather) aliogopa akasema mwanake hawezi kupigana na 'Giant' akimaanisha GGG. Huyu jamaa anashikilia mikanda minne ya uzito wa middle weight kwa maana ya kuwa kawapiga mabondia wanne walikouwa mabingwa wa uzito wa middle weight. Canelo kwa upande wake ni uzito wa chini na siyo Middle weight. Canelo kuna baadhi ya mapambano amewahi kupewa ushindi lakini kiukweli ilikuwa kama kabebwa yalikuwa sare au alishindwa (mfano angalia pambano lake na Erislandy Lara (July 12, 2014). kwa upande wa GGG jamaa mapambano yake yote aliyoshinda hana hata chembe ya utata. mtafute u-tube ndo utamjua vizuri.
 
jamani huyu Triple G (GGG) ni mtu hatari hamna tena. Kuna wakati Mayweather alikuwa anachonga ngenga jamaa akasema kama anataka pambano lipigwe tuu. GGG alisema hamuogopi Mayweather na staili yake ya 'Ping Pong' yaani ya kigana kwa kuvizia. (GGG yeye hupigana kwa kwenda mbele tu huwa harudi nyuma) Hata hivyo, Mayweather Sr. (Baba wa Mayweather) aliogopa akasema mwanake hawezi kupigana na 'Giant' akimaanisha GGG. Huyu jamaa anashikilia mikanda minne ya uzito wa middle weight kwa maana ya kuwa kawapiga mabondia wanne walikouwa mabingwa wa uzito wa middle weight. Canelo kwa upande wake ni uzito wa chini na siyo Middle weight. Canelo kuna baadhi ya mapambano amewahi kupewa ushindi lakini kiukweli ilikuwa kama kabebwa yalikuwa sare au alishindwa (mfano angalia pambano lake na Erislandy Lara (July 12, 2014). kwa upande wa GGG jamaa mapambano yake yote aliyoshinda hana hata chembe ya utata. mtafute u-tube ndo utamjua vizuri.
GGG anajua ila Floyd anajua zaidi.
 
Mshabiki wa ngumi wa nje:

Chris Henderson, USA.
Will the much improved skill set of Canelo Alvarez be enough to withstand the force of Gennady Golovkin is the question fans have wanted to know the answer to for almost two years now.
This fight has the potential to take fans back to the glory days of Hagler vs Hearns. Will it be as great as that 8 minutes of war?
Well, that may be a little too much to ask – but I promise this won’t disappoint.
My take is this.
From the outset Golovkin will attempt to establish his jab and try to work off of it. He will be effective but this will also create some great counter punching opportunities for Canelo, especially the pull counter.
Expect some to land clean, but the bad news for Canelo is that he won’t get the result he’s use to getting when these counters are effective.
This fight will turn into a brawl instead of a skills contest because of one reason and that’s Alvarez’s pride.
By the middle rounds the constant pressure of Golovkin will begin to take it’s toll on Canelo and we will see him take his almost mandated breaks at times on the ropes.
This is a recipe for disaster against the Kazakh destroyer. The total accumulation of the onslaught by Golovkin will be too much for Canelo by round 8-9.
In closing, I believe Canelo’s desire to prove he belongs in the ring with Golovkin, after all the backlash he’s received from fans, will eventually be his undoing
 
Mkuu kwa ngumi za GGG Mayweather asingemaliza round 10. Trust me
Mabondia wengi wanaonekana moto sana lakini wakija kwa Floyd wanapoa na wanaonekana was kawaida sana.

Floyd amepambana na mabondia hatari huyo Gennady akasome.

Anajua kubadili mchezo kulingana na aina ya bondia anayepambana naye.
 
GGG ana nguvu sana. Mayweather ni welterweight GGG ni middle weight bado mayweather amekuwa akibebwa baadhi ya mapambano ni droo ili kumjenga wanasema kashinda. angalia alivyopigana na jamaa anaitwa Jose Luis Castillo tafuta video utube uone kuwa mayweather anapigika sema Wamarekani ni watu wakutengeneza rekodi. Floyd asingeweza hata kwa dawa kutumia staili yake kwa GGG wameshidwa best middle weight champions Mayweather asingeweza hata kidogo. Na hata angetaka kupambana naye ngumi kwa ngumi bila kukwepa staili angepigwa tuu. angalia hiyo link halafu nambie https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=3&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwiQ2pT4_IbWAhXJuRoKHW8DDOIQtwIIMTAC&url=https%3A%2F%2Fwww.youtube.com%2Fwatch%3Fv%3DCHyb3OlfB9c&usg=AFQjCNFLtbZ5OhOPx6Wk8VvCWHNzVljRNghttps://www.google.com/url?sa=t&rct...OlfB9c&usg=AFQjCNFLtbZ5OhOPx6Wk8VvCWHNzVljRNg
 
At least hapa tutaona ngumi sio ule upuuzi wa juzi wa kupiganisha boxer vs kick boxer..!
 
hili ndilo pambano la kuangalia ,mimi binafsi mapambano ya maywether siyaangaliaji simwaminigi hata kidogo
 
Back
Top Bottom