joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"
Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.