Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"

Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.
 


Kitu muhimu zaidi cha kuzingatia ni kwamba, hizi silaha zote ni mpya, kama tunavyonunua ndege moja kwa moja toka Kiwandani, ndivyo tulivyonunua hizi meli, boats na hizo tanks, vyote hivi tumevipokea kuanzia 2012 hadi 2018, "not old than 7 years"

Karibuni kwa ajili ya kurusha povu hewani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakenya, mbona siwaoni katika huu Uzi, au bado hamja amka?. Tafadhali tuonyesheni "inventory" ya jeshi lenu la baharini, na mtuonyeshe hizo silaha tuzione. Hahahaha, hahahaha.
 
Hakuna kitu ya maana hapa,
Letea watu machines za nguvu zikiwa operation,
Si show ground
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani Tz walichange flag zao na hatujui, huyu jamaa should be studied
 
Back
Top Bottom