Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

Haibadilishi km jwtz walikatwa mapanga
Buda, hii story ya mapanga vice versa is true. Hasa katika mapambano ambayo wahuni wanajificha katikati ya raia...bhas wanavaa kirai na kusaka wahuni nyumba kwa nyumba na kuwaweka panga.
 
Nani karuhusu siri za jeshi kurushwa humu,mtazidi kumpanza jamaa wa watu(Melo)
 
Kwhyo umekubali wavaa makobazi huaga wako vizuri kw ground kw sababu wao hutumia guerrilla warfare
Vietnam tu iliipika US mpk waka withdraw.
Taliban wavaa makobazi wanawatandika US kwa AK 47 in ground battle mpk basi.
USA yule ukitaka akuue shoboka angani ama majini Ndio anakuua ila ground battle aah wapi.
 
Mm nimemtolea mfano USA.
USA hawez ground battle.
Yeye anaweza cyber wars.
Ila hao hao wavaa makobazi wape mchina nadhani utaelewa nn namaanisha.
Watachapika na makobazi yao mpk wakome.
Au wape Russia,hawa ktk ground battle achana nao weka mbali na watoto.
Kwhyo umekubali wavaa makobazi huaga wako vizuri kw ground kw sababu wao hutumia guerrilla warfare
 
Dah unajua kujitetea mazeh.
Yani mko full loaded halafu mnakufa 500.
Japokuwa unafosi walitupiga mapanga ilhali wapo wanajeshi majeruhi wa risasi.
Mapanga masaa kumi na tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si heri hzo rpg za faster faster nusu saa[emoji1787][emoji1787]
 
Lkn umekubali wavaa kobadhi wako vizuri katika ground battle
Mm nimemtolea mfano USA.
USA hawez ground battle.
Yeye anaweza cyber wars.
Ila hao hao wavaa makobazi wape mchina nadhani utaelewa nn namaanisha.
Watachapika na makobazi yao mpk wakome.
Au wape Russia,hawa ktk ground battle achana nao weka mbali na watoto.
 
Dah unajua kujitetea mazeh.
Yani mko full loaded halafu mnakufa 500.
Japokuwa unafosi walitupiga mapanga ilhali wapo wanajeshi majeruhi wa risasi.
Sasa washerehekea vifo vya wanajeshi wetu?
 
Back
Top Bottom