Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

Hili ndilo "Tanzania Navy Commander", Jirani kaa mbali sana.

Tafadhali tunaomba mtuwekee " inventory " ya silaha za jeshi lenu la majini, na tuzione silaha zenu ili timalize huu ubishi. Usilete Maneno matupu.
Wewe wataka kubishana ya bure! Kwani utaiona inventory Mara ngapi?
 
Wewe wataka kubishana ya bure! Kwani utaiona inventory Mara ngapi?
Acha kuleta list ya miaka iliyopita, wewe huoni hii niliyokupa ni ya mwaka 2019, sasa wewe unaleta list haijulikani ni mwaka gani, tuambie sasa hivi meli ngapi, boti ngapi zinazofanya Kazi?,
 
Leta ushahidi bro.
NAUSUBIRIA HAPA.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
20191026_172100.jpeg
20191026_172028.jpeg
 
Mbna unaumia sana kuliwekea vifaa katika ule uzi mwngine...umeletewa mpka missiles za navy ukakimbia...
Hakuna mtu atajisumbua na hka kauzi kako..rudi kule tukupe za uso
Acha kuleta list ya miaka iliyopita, wewe huoni hii niliyokupa ni ya mwaka 2019, sasa wewe unaleta list haijulikani ni mwaka gani, tuambie sasa hivi meli ngapi, boti ngapi zinazofanya Kazi?,
 
The only Navy that has tested war in East Africa
IMG_20191026_173308.jpeg
IMG_20191026_172811.jpeg
IMG_20191026_172818.jpeg
IMG_20191026_172924.jpeg
 
Wapi tumepora mali za Congo ?
Unadhani hao km KDF waiba mikate westgate?
Kwnu hamna Cha kupora zaidi ya chipsi mayai inabidi muwapeleke DRC angalau wachume kidogo kidogo SI hata wanawanajisi wanawake huko ama hujaziskia hizo habari?
 
images (26).jpeg

JTWZ bado wako nyuma sana very few armoured vehicles .sijui watafanya hata invasion kivipi maana hata logistics wise mko zero.ile siku mtaanza ku operate vitu Kama hizi (husky mk2 ) mnitag
 
images (27).jpeg

The Husky VMMD family of vehicles are blast-survivable, mission-configurable wheeled platforms employed around the world by specialized route clearance teams operating in high-explosive threat areas.
 
Kwnu hamna Cha kupora zaidi ya chipsi mayai inabidi muwapeleke DRC angalau wachume kidogo kidogo SI hata wanawanajisi wanawake huko ama hujaziskia hizo habari?
Huleti ushahidi unaropoka.
Nimeenda kutizama hakuna vivid evidence ni accusations tu hzo.
Leta evidence km niloileta ya KDF wakiiba mikate westgate.
 
Ndio maana nakwambia ww mwasiti sio mzima.
Km peacekeepers wakihusika na matukio km hayo huchukuliwa hatua mbona Tz haikuchukuliwa hatua?
Ndio maana nikasema hzo ni accusations tu.
Umeniletea scandal news asa si yale yale?
Ulitaka ushahidi na baada ya kuupata umeruka gear nyingine...Wanajeshi wenu wanayi kiu ya ngono kwa hivyo hata Mali ya watu wanachukua as plunder.
 
Unaleta SCANDAL NEWS?
WE FALA EEH?
Yani SCANDAL NEWS!!!
MWASITI PUNGUZA BANGI.
HAKUNA PEACEKEEPERS WASIOCHUKULIWA HATUA KWA UNYANYASI.
ACHA UONGO HZO HABARI NI SCANDAL NEWS BAKI NAZO.
Ulitaka ushahidi na baada ya kuupata umeruka gear nyingine...Wanajeshi wenu wanayi kiu ya ngono kwa hivyo hata Mali ya watu wanachukua as plunder.
 
Back
Top Bottom