Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hivi virescue boat unaviwekea nini hapa while vimechukua 12 days kuiopoa gari iliyozama kwenye kina cha metre 10 tu!The only Navy that has tested war in East Africa View attachment 1245544View attachment 1245545View attachment 1245546View attachment 1245547
Hao malawi si ndio tumepakana nao ziwa Nyasa??
Waulize kipindi cha Kikwete Kale kamgogoro wa ziwa nyasa na mama yao Joyce Banda alinyamazishwajwe.
Buda, hii story ya mapanga vice versa is true. Hasa katika mapambano ambayo wahuni wanajificha katikati ya raia...bhas wanavaa kirai na kusaka wahuni nyumba kwa nyumba na kuwaweka panga.Haibadilishi km jwtz walikatwa mapanga
Vietnam tu iliipika US mpk waka withdraw.
Taliban wavaa makobazi wanawatandika US kwa AK 47 in ground battle mpk basi.
USA yule ukitaka akuue shoboka angani ama majini Ndio anakuua ila ground battle aah wapi.
Kwhyo umekubali wavaa makobazi huaga wako vizuri kw ground kw sababu wao hutumia guerrilla warfare
Kubakwa ni mambo yao jwtz...
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1246220
Mapanga masaa kumi na tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si heri hzo rpg za faster faster nusu saa[emoji1787][emoji1787]
Mm nimemtolea mfano USA.
USA hawez ground battle.
Yeye anaweza cyber wars.
Ila hao hao wavaa makobazi wape mchina nadhani utaelewa nn namaanisha.
Watachapika na makobazi yao mpk wakome.
Au wape Russia,hawa ktk ground battle achana nao weka mbali na watoto.
Sasa washerehekea vifo vya wanajeshi wetu?Dah unajua kujitetea mazeh.
Yani mko full loaded halafu mnakufa 500.
Japokuwa unafosi walitupiga mapanga ilhali wapo wanajeshi majeruhi wa risasi.