Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Tatizo wakitolewa hapo watetezi uchwara wataibuka kulalamika. Mfano soko kuu pale palikua hapafai kuendelea kuwa soko kubwa mwanza uchafu na mengineyo vilizidi. Hapo pa kufunga pafanyiwe matengenezo ila inahitaji mtu mwenye msimamo hasa maana kuna pesa za watu hapo wamekaa tu kukinga kila mwisho wa mwezi