Hili ndio jibu la Aunt Ezekiel kuhusu yeye kuolewa na Kusah

Hili ndio jibu la Aunt Ezekiel kuhusu yeye kuolewa na Kusah

Watoto ndio wanashoboka yaani.....hawa vijana wana fantasy ya kutoka na wanawake walio wazidi umri.

Kale kamsemo kanasema umri ni namba tu....hata harmonize anacho....ona yule kajala.
Ona sasa vitoto vyenyewe havioi kina Aunt wanazeeka tuu sasa..
Hao bado wana ujana mwingi na kutamani watoto wenzao kwa sasa...
 
Ona sasa vitoto vyenyewe havioi kina Aunt wanazeeka tuu sasa..
Hao bado wana ujana mwingi na kutamani watoto wenzao kwa sasa...
Pengine aunt akiwa msichana lazima alipata bahati ila akazipita tu.....enzi zile anaigiza na kina kanumba alikuwa wa moto yaani maini sana.
 
Duuuh...hivi hawa wamama walitoa wapi huo mtindo wa kuzaa na watoto?
Angalia Trend Wema,Esha,Uwoya,Aunt, Shilole,Wolper ,Kajala nk wote walisumbua enzi zao kwa kudanga, ila sasa hivi wote wameangukia kwa vijana wadogo.Ukitizama hao wote wanao date nao wanatafuta unafuu (wanalelewa) na unaweza ukakuta hawana ile command ya mwanaume ndani ya nyumba.

Sababu moja wale ambao ni agemate ,always wanataka mali safi, ambayo haijatumika sana au low body count na kumbuka mwanaume yoyote yule awe malaya au mtulivu,anaweza kupiga mademu hata mia ,ila wakati wa kuoa lazima atafanya vetting. So hao ukiwa fanyia vetting automatically wanakuwa hawana vigezo. So wanabaki kiwa kimbilio la vijana wanaopenda kulelewa.

Hata hawa wakina Sanchi, Tuerny, Poshqueen,Nicole,Mobetto nk au demu yoyote anaye trend kwa kudanga huko Social Media ni swala la muda kwani watakosa soko na kuwa walezi wa vijana wadogo.Hapo ndipo ujue kudanga kuna limitations ya umri, sasa hivi kuna vibinti vidogo vibichi vimeingia sokoni, so hawa wazamani watakosa soko automatically.
 
bei zao huwa ni elekezi, 1m kabla hajazaa, 500k baada ya kuzaa
VAT inclusive hiyo, bao 3 usiku kucha , mbele tu
HII NAKUPINGA. Hizo bei zilikuwa wakati katibu mwenezi wa CCM ni John Chiligati. Kwa sasa bei zao zimeshuka sana kutokana na kuwepo kwa mali mpya sokoni.
 
Back
Top Bottom