Duuh...kasema ingekua mila zetu zinaruhusu kumchumbia mwanaume angepeleka posa kwa kina Kusah amuoe yeye..kwa sbb kusah kanyamaza tuu mpka leo..na hawezi kumlazimishaa..Sina bando la video mkuu, kajibu nini?
Kusah mwenyewe anajiandaa kumuacha.Duuh...kasema ingekua mila zetu zinaruhusu kumchumbia mwanaume angepeleka posa kwa kina Kusah amuoe yeye..kwa sbb kusah kanyamaza tuu mpka leo..na hawezi kumlazimishaa..
Duuuh...hivi hawa wamama walitoa wapi huo mtindo wa kuzaa na watoto?Kusah mwenyewe anajiandaa kumuacha.
Mwache dada yenu aolewe nyie.jua limezama
sura tu ipo ivo, nyuchi sijui ikoje
Watoto ndio wanashoboka yaani.....hawa vijana wana fantasy ya kutoka na wanawake walio wazidi umri.Duuuh...hivi hawa wamama walitoa wapi huo mtindo wa kuzaa na watoto?
Huyo kusa ni mdogo kuliko shangazi?Duuuh...hivi hawa wamama walitoa wapi huo mtindo wa kuzaa na watoto?
Dalali mwijaku au stevebei zao huwa ni elekezi, 1m kabla hajazaa, 500k baada ya kuzaa
VAT inclusive hiyo, bao 3 usiku kucha , mbele tu
Ile baa yake bado ipo???Aunt Ezekiel amejibu swali la ni lini ataolewa na Baba mtoto wake ambae pia ni msanii wa Bongo Fleva "Kusah".
ANGALIA VIDEO HAPA
Written by Mjanja M1
Video from RickMedia
Chini hakuangalii udogoHuyo kusa ni mdogo kuliko shangazi?
SanaaaHuyo kusa ni mdogo kuliko shangazi?
Ona sasa vitoto vyenyewe havioi kina Aunt wanazeeka tuu sasa..Watoto ndio wanashoboka yaani.....hawa vijana wana fantasy ya kutoka na wanawake walio wazidi umri.
Kale kamsemo kanasema umri ni namba tu....hata harmonize anacho....ona yule kajala.
Khaaa numbi siku hizi una mipasho wewe mtoto.Alichezea ndoa ya kiben ten wake saiv asubirie tu ndoa za wanae mbeleni huko
Pengine aunt akiwa msichana lazima alipata bahati ila akazipita tu.....enzi zile anaigiza na kina kanumba alikuwa wa moto yaani maini sana.Ona sasa vitoto vyenyewe havioi kina Aunt wanazeeka tuu sasa..
Hao bado wana ujana mwingi na kutamani watoto wenzao kwa sasa...
Angalia Trend Wema,Esha,Uwoya,Aunt, Shilole,Wolper ,Kajala nk wote walisumbua enzi zao kwa kudanga, ila sasa hivi wote wameangukia kwa vijana wadogo.Ukitizama hao wote wanao date nao wanatafuta unafuu (wanalelewa) na unaweza ukakuta hawana ile command ya mwanaume ndani ya nyumba.Duuuh...hivi hawa wamama walitoa wapi huo mtindo wa kuzaa na watoto?
Sema kula limama lilokuzidi umri burudani sana.Watoto ndio wanashoboka yaani.....hawa vijana wana fantasy ya kutoka na wanawake walio wazidi umri.
Kale kamsemo kanasema umri ni namba tu....hata harmonize anacho....ona yule kajala.
Unataka liweje yaani liwe na tako au hata mwembamba, nimeuliza hivi nijue uko na mpango gani????π π πSema kula limama lilokuzidi umri burudani sana.
Aunt mileage zimesoma labda apate Mstaafu mwenzetuAunt Ezekiel amejibu swali la ni lini ataolewa na Baba mtoto wake ambae pia ni msanii wa Bongo Fleva "Kusah".
ANGALIA VIDEO HAPA
Written by Mjanja M1
Video from RickMedia
HII NAKUPINGA. Hizo bei zilikuwa wakati katibu mwenezi wa CCM ni John Chiligati. Kwa sasa bei zao zimeshuka sana kutokana na kuwepo kwa mali mpya sokoni.bei zao huwa ni elekezi, 1m kabla hajazaa, 500k baada ya kuzaa
VAT inclusive hiyo, bao 3 usiku kucha , mbele tu