King Octavian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 403
- 353
- Thread starter
-
- #21
Hiyo sarufi ya kuandika mutu badala ya mtu mimi siijui King Octavian. Kwa hiyo ni sahihi kusema/kuandika:Mutu mukubwa anakuja kututembelea kesho?
unaona sasa hapo eti hadi meli? i wont use this word to refer my mama, never kabisa
a dog? are you kidding me?
u cant hear that kind of english in tanzania......kuna siku nilikuwa napita sehemu nikakuta bibi analia 'she has gone missing!!!' nikauliza kwa shauku sana nani kapotea mjukuu au mtoto wake...nikajibiwa 'princess her dog!!!!
Duh! i thought we use "it" when referring to animals
Bora ungesema baba kuitwa "dady" haifanani
hili pia ni wazo lako zuri tu mkuu
kwa wenye lugha kumuita mbwa au pet yoyote 'it' ni rude!! wenyewe wanaita 'she'....unaweza kudhani wanazungumzia mtu kumbe ka-mbwa!!!!
But she's fine?