Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Unalala na mwanamke unamtia mimba alafu badae unakuja kumuita Bitch?pumbf kabisa wewe Diaomond hiyo umekwaaza wanawake karibia wotee sio hamisa tu.Binafsi nilikua fan wako mkubwa tu.Sifa zimekuzidi sana kijana unaanza kua mpuuz flan.
Kipindi anampa mimba ulikuwepo? Au magazeti yameandika. Unajua uchafu wa Hamisa.
 
Wote ni wasanii wazuri sanaaa...ila kiuhalisia diamond ni mkubwa sana kwa alikiba kwa maan diamond kavuk mipaka nje ya Tanzania zaidi ya kiba, anafahamika zaidi ya kiba, anamashabiki wengi nje ya Tz zaidi ya alikiba......ila anaivunja status yake taratibu angekua anakausha tu japo hili week kafanya mziki urudi midomoni mwa watu maaana siasa kwakweli awamu hii imefunika muziki, atrist alivoanzisha hizi chokochoko wadau wamerudi kuukumbuka muziki ,kiuhalisia dai ndie anae uroll mziki wa bongo ukitegemea na maadui wengi aliokua nao,........wote ni wasanii wazuri sanaa ila ukweli no moja kwa sasa ni diamond na wapili ni kiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu labda wa kwanza kwako na mkeo tu sio sisi
 
Tangazo ametoa pesa mzee. Hawapo poa kiivyo
Wee ulitaka matangazo yake wasimtose hela??? Kisa ni diamond???
Wee umeambiwa clouds ni sehemu ya kutolea msaada siyo....
Hutaki Ali kiba afanye show kwa hiyo Milion 2 unataka akale kwako siyo??????

Unataka diamond akanye show ya Milion 100 fiesta kwa mziki gani alio nao?????
 
Hamna kitu labda wa kwanza kwako na mkeo tu sio sisi
yani hili ata kama sio shabiki wake au hupendi mziki wake uo ndo ukweli,...mm binafsi napenda nyimbo za kiba ila siwez jidanganya kusema kiba ni mkubwa zaidi ya diamond ntakua mnafki na ushabiki utumbo... Ukienda nchi mbalimbali za Africa msanii anaejulikana zaidi ni Diamond na ndio nembo ya mziki wa Tz kwa nje,..hio yote kwasabab domo kajitangaza sana hasa swala la kufanya collaboration na wasanii mbalimbali,..lets be realistic bhna na domo ndie anae onekana zaidi kuiwakilisha na kuifikisha bongo fleva nje kiasi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond ajawai kuniangusha kapigana vita vingi sana kashinda waliona kiba kalala wakaamua kumpandisha darasa ikawa hola aya ni upepo tu utapita wakali tutaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie kati ya Diamond na Alikiba nani aliyemuamsha mwenzake safari hii? Unajua usiwe mjinga kuandika ili mrad umeandika
 
MKuu umemwaga dhahabu tupu...Mondi kichwa. Harafu mondi we piga kazi baba achana na waswali...waswali hatupendi mtu kutoka
 
Mkuu hata mie nimeshangaa Mond hakuwa mtu wa kufanya vitu anavyofanya sasa,ila mie binafsi nichogundua ni kuwa hizi nyimbo nne za Mond alizotoa mwanzo hazijafanya vizuri kwa kukosa muamko uliyozoeleka.

Ni wazi hii ndiyo sababu iliwachanganya Wcb wote na kuanza kufanya mambo ya ajabu.
 
UMEANDIKA KWA NIAMBA YANGU KAKA SAFI KABISA UKIWA JUU LAZIMA WATU WAKUCHUKIE NA SIO KWASABABU HAWAKUPENDI ILA NDIO NATURE YA BINADAMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…