Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

dogo acha kupiga kelele unajua mahusiano ya DIAMOND na CLOUDSMEDIA GROUP AU KELELE TU....Ni hivi wasafi.com ni affiliated company under clouds media hilo liko wazi wala sihitaji tumia nguvu CHIBU PERFUME ni brand ya kusaga...sasa huoni clouds wana mengi ya kugain akiwa juu...ishu ya diamond kutoshiriki ni kwakua yeye anakua sponsored na voda thast all
 
Hapa hakuna public sympathy mkuu, ubora wa kazi unaongea.Tatizo la Diamond anaamini yupo juu na anatakiwa kubakia hapo kwa namna yoyote ile.Anatumia nguvu kubwa kupigana vita na kazi za wasanii wengine ili ionekane kazi nzuri zinazalishwa na record label yake.At first tulidhani anafanya hivi kwa Kiba tu but tuliona nguvu kubwa aliyotumia kujaribu kuizima Muziki ya Darasa but akashindwa.Uhusika wake katika sakata la kupotea kwa ROMA kwa kutoa ngoma ya kutatanisha nayo ilimgharimu pasipo yeye kuliona au pengine ni uchaguzi alioamua kuufanya, upuuzi wa FRESH ndio ikawa kama kuongezea chumvi katika kidonda kibichi.Hii vita anayo ichochea now imemtokea kwani karelease ngoma kwa dhamira ya kuzima ngoma ya mwenzie na sasa ime backfire vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hawaoni haya yotee ,,aiseee
 
Wewe mtoa post Diamond ni Balozi wa Vodacom Wakati Fiesta indhaminiwa na Tigo (Tigo Fiesta) hiyo ni sababu tosha ya Diamond kutokua na sifa za kushiriki Fiesta iliyopita na hata Fiesta hii pia! Hivi watanzania mkoje? Mmekaa kushupaa kulaumu vitu vya kipuuzi sana huku ukijitia unajua kuchambua upupu wako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point tupu...ni wazi kabisa kuna nguvu kubwa inatumika kumshusha Dai na kumpandisha kibakuli. Naamini mziki mzuri utaishi milele na Juhudi huwa hazidanganyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dai ni balozi wa Vodacom anamkataba nao Fiesta inadhaminiwa na Tigo (Tigo Fiesta) nadhani kama una akili hapa umeelewa,acha fikra za kipuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa.

100% correct. Yaani ndio yalikuwa mawazo yangu kabisa. Diamond should focus. Zamani mpuuzi alikuwa anaonekana ni Kiba na wivu wake sasa juzi ile verse ime reverse kila kitu. Sasa Diamond ndio anaoneka tatizo. Awe makini na media
 
Mtoa mada acha fikiria kabla ya kupost uzi wako.Baada ya kusapoti mziki wetu ufike mbali wewe unaleta majungu. Diamond kautambulisha mziki wetu nje ya nchi ni hatua nzuri lakini peke yake haitoshi tunahitaji n wengine wausukume mziki wetu zaidi ya alipofika diamond hapo tutakuwa na nguvu kubwa angalia Nigeria wapo wengi wasanii ambao wameutambulisha vyema mziki wao duniani. Acha uduwanzi by the way bongo flava siyo ya Diamond na Alikiba peke yake wapo wasanii wengi na tunataka hao wengi autambulishe mziki wetu duniani. Diamond hata akiisha kimuziki leo bongo flava bado itaendelea kuwepo alikiba akaicha kuimba leo bado bongo flava itaendelea kuwepo na watakuja wengine ambao wataupeleka mbele mziki wetu na kuutambulisha duniani zaidi ya huyu kiba na mondi.



Sent from myself
 
Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa.
Achana na kiba,diamond anayumba maneno yote hayo uliyoandika yangekuwa ya kumshauri cha kufanya ingekuwa big up sana

Acheni kuwatupia lawama clouds coz wafanyacho sio crime inawezekana diamond akatumia mwanya huo ku move further kama release ya ZILIPENDWA ilivyo promote SEDUCE ME(mange na nyimbo ya zilipendwa wameisukuma seduce me vya kutosha)

Hamtakiwi kulia lia dhidi ya mtu anayetoa nyimbo moja mwaka hadi mwaka wakati mondi na wasafi yake wana release mzigo wa nyimbo ndani ya mwaka sasa stress za mange na clouds inatokea wapi wazee
 
Point tupu...ni wazi kabisa kuna nguvu kubwa inatumika kumshusha Dai na kumpandisha kibakuli. Naamini mziki mzuri utaishi milele na Juhudi huwa hazidanganyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani timu domo mnatia huruma kila siku mnatafuta mchawi wa domo kumbe mchawi ni ye mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] na kuhusu ishu ya clouds ye mwenyewe alijitibulia kwenye ule wimbo wa acha nikae kimya alikuwa upande wa Bashite na kila mtu aliona Clouds ilivovamiwa halafu anakejeli kwenye wimbo "naskia kuna radio imevamiwa et" , bila kujua kuwa clouds ni kituo kikubwa cha burudani hasahsa bongofleva, tatizo hatumii akili anapotaka kufanya jambo na hii inamcost

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hakuna public sympathy mkuu, ubora wa kazi unaongea.Tatizo la Diamond anaamini yupo juu na anatakiwa kubakia hapo kwa namna yoyote ile.Anatumia nguvu kubwa kupigana vita na kazi za wasanii wengine ili ionekane kazi nzuri zinazalishwa na record label yake.At first tulidhani anafanya hivi kwa Kiba tu but tuliona nguvu kubwa aliyotumia kujaribu kuizima Muziki ya Darasa but akashindwa.Uhusika wake katika sakata la kupotea kwa ROMA kwa kutoa ngoma ya kutatanisha nayo ilimgharimu pasipo yeye kuliona au pengine ni uchaguzi alioamua kuufanya, upuuzi wa FRESH ndio ikawa kama kuongezea chumvi katika kidonda kibichi.Hii vita anayo ichochea now imemtokea kwani karelease ngoma kwa dhamira ya kuzima ngoma ya mwenzie na sasa ime backfire vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo hawapendi ujinga kabisa aangalie kilichomtokea Mr nice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_20170829_091947.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila msanii anafit..... wigo ni mpana sana

Tatizo team mond mnatafuta justification....

Na mnataka kubishana na 2.2 viewers......


Kuna wapenzi wengi wa mziki wasio na team wanachojali ni mziki mzuri baaaaas

Na sio kila nyimbo Domo atakuwa wa kwanza.....kupitwa kutokana na wateja watakavyoupokea kupo pale pale

Bila kusahau Domo na hawara wake waache kutusi wateja...... haiwezekani ukaungwa mkono kila siku....mitandaoni haiwezekani ukasifiwa daily...kuita wateja wanuka chupi... au..pundaa wanapoteza wateja.... waache kutegemea kiki za kipuuzi....mwisho wa siku watu wanakuwa interested na kiki kuliko mziki

Mameneja wa Domo wazingatie professionalism. ...mameneja kutwa vijembe....wanampoteza


Domo aache kuimba watu.....yaani nyimbo mtu unazipredict kabisa....asipoimbwa wema ataimbwa zari...jokate.... mobeto...

Timing ya kutoa nyimbo


Kudiss wenzake aache

Kudhani kuwa yeyey ni bora kuliko wengine aache....kuna kina aslay wanaimba vizuri kuliko yeye ni wakati tu

Pia kila kitabu na zama zake na watz wakiamua wanakunyoosha tu

Kwa hiyo badala ya mumfariji na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa meambieni ukweli


Mwisho fiesta haikuundwa kwa ajili ya Domo pekee... kila msanii ana nafasi sawa kutegemea na hadhira.....


Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa.
 
Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa.


Shigongo hamchukii Diamond ila alimpa ushauri, Diamond anamashabiki zake huko uswahili Mbagala ,mikoani n.k sasa kama hataki hata kujitolea shows za bei rahisi ambazo hapati hasara ili kujiweka tu karibu na mashabiki zake mara moja moja kuna ubaya gani? Na hao watu mnaowaona wa hali za chini hawawezi kuingia show zake za 50,000 ndo wanaompigia kura kwa kiasi kikubwa kuliko hao wa Masaki ambao wanaona ni ujinga kufanya hivyo...

Jambo lingine huwa naona mashabiki wake wanawalaumu channel 5 au eastafrica Radio kwamba hawapigi nyimbo za Diamond. Kiukweli ni kwamba Diamond hatoi ushirikiano kabisa na vyombo vingine vya habari zaidi ya kujiona clouds tu ndo hadhi yake,kila kitu anazindulia clouds hawa radio zingine watajisikiaje? Diamond apunguze dharau hizo kwa other medias
 
Back
Top Bottom