Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Hili ni jaribio la 3 la Clouds FM kumshusha Diamond, naamini utashinda tu

Fiesta inaanza lazima Ruge apate mbadala wako ambaye bei yake itakuwa ndogo. Lazima Ali awe mkubwa. Mdogo wangu Dai unakumbuka kwanini inapokaribia fiesta tu basi mazingira yanaandaliwa ya Kiba kupandishwa. Juzi umejichanganya mwenyewe ulipoambiwa changamsha mziki kwa bit LA fresh eti wanasiasa wana kiki now..ukatoa verse, ukajichanganya..imekucost..

Kiba katoa nyimbo, kuna mdau 1 clouds akaniambia usiku na wewe utatoa nyimbo..ukatoa..ikakucost tena.

Nasibu Abdul hajawahi kuwa adui na Clouds Media. Tatizo ni Udiamond wako. Tatizo ni kuwa maarufu zaidi yao nje na ndani ya Nchi. Tatizo bei yako ya show..napenda spirit yako..unajua hata shigongo anakuchukia sana..kisa tu ulikataa kupiga show kwa 10 mil Mbagala. Eti unalinga..Diamond we huRingi..but unajua thamani yako.

Sisi wadanganyika tunaaminishwa eti Kiba mkali..seriously..?? Shilawadu wadau wako walikuponda sana kwenye kipindi chao juzi.. eti hata kutukanwa ulijitakia.., 360 Leo wamemaliza kabsa..eti Kiba mkali sana. Haumuwezi.

Kiba anapandishwa kwa sababu ya Fiesta. Hawa wakina Dulla, Kimambi mkumbo tu wanacheza ngoma wasiyoijua.

Hii yote ni fiesta tu.. anatafutwa msanii aonekane anacaliba yako but bei yake ndogo. Kiba atazunguka Fiesta zote kwa malipo ya 3 milion kwa show (kiba huwa anapiga show hata club hii pesa) wewe huwezi kukubali hii. Fiesta watakayoweza kukulipa ni ya Dar tu.

Diamond hauna dharau kabisa, upo humble, msela..mcheshi..!! Watu wanakushauri eti Sallam hakufai.. Sallam anakufaa sana, lazima uwe na meneja msela, mwana, muhuni,.msela sallam wa forest Moro kazi anaifanya vizuri sana.


Ushauri
1- Kuwa na wigo mkubwa wa Media (unajua hata efm hawapigi ngoma zenu kivile(ongea na Mlezi wenu, hili dogo kwake) wakina dulla wanasema unadharau sana. Eti wewe kila kitu clouds yaani wao unawachukulia poa. Ongea nao yaishe.. hakuna msanii alikua juu ya Media.

2- Imarisha brand & PR. Tafuta mtu wa kupost picha zako na kuandika kwenye account yako. Wewe ni mzuri kwenye kuimba tu.. haya ya kupost mtafute mtu sahihi. Usiwape sababu..
Juzi umeandika bitch dying for fame..usinge andika bitch..ungecheka tu basi.

3- Zikaushie siasa. Naishia hapo.


Last, kiba siyo size yako. Kuwa makini sana na Clouds unakumbuka fiesta ya mwaka juzi walivyoinjinia mpaka ukazomewa.. mwaka Jana hukushiriki na mwaka huu usishiriki. Andaa show zenu wenyewe na wapambe wenu kama wakina shish baby, killer, stamina..n.k

Clouds wamedhamiria kukushusha kabisa. Hawakuchukii tatizo bei yako. Clouds wanaamini wao ni wakubwa sana kwa hiyo hutakiwi ku bagairn. Wasanii bila kuwa kitu kimoja mtakawanywa sana.

Kwepa kumzungumzia kibakuli au yule sijui mange Kimavi asiye jua hata mipaka yake.


Sangoro sangoro sangoro...X 3
Ooohh ooooh ohhhho

Kibakuli ni anabebwa sana.. but laiti angekuwa na kipaji hata robo yako tungeongea mengine..tatizo Kiba uwezo mdogo.

Kwani kale ka mange kimavi kanakupa homa kale..!!

Kuchukiwa na Wema, Jokate, Penny, Wolper hiyo kawaida sana.. pay the price brother. Ulikula wote hawa. Ulifaidi japo. Kwa hiyo vitimu vyao visivyo hata na us a hook tegemea tu matusi yao.

Seduce kwa upande wao inaweza kuwa nzuri but haifanyi eti ndiyo Kibakuli ndiyo ameshakuwa juu ya Diamond, kwa kipi?

MTV wanasema Diamond anaipeleka Tanzania to World. Huyu msanii wenu anaitoa Tanzania to Mombasa.
upload_2017-8-29_9-38-12.png
 
Kiukweli kama mi ningekuwa Ali kiba ningeona aibu kwa mapokezi haya nisiyostahili. Ona jinsi Darasa alivyopenya kipindi kile na wimbo wake. Sasa huu wa nitongoze unapenyeshwa. Halafu hata ukimwambia mtu aseme maana yake anajiumauma tu. Neno lenyewe halimamkiki hadharani ndio maana akalificha kwenye kingereza.
Tulitegemea kama kweli ni wimbo mzuri kina Mange wauache ujipaishe wenyewe. Hakika ni wimbo wa muda mfupi sana sema media zimeamua kuubeba.
 
100% correct. Yaani ndio yalikuwa mawazo yangu kabisa. Diamond should focus. Zamani mpuuzi alikuwa anaonekana ni Kiba na wivu wake sasa juzi ile verse ime reverse kila kitu. Sasa Diamond ndio anaoneka tatizo. Awe makini na media
Toka zamani diamond ndo alikuwa mgomvi sema ilikuwa chinichni na kiba alikuwa hajaanza kukubalika sanasana nje sasa baada ya kuona kiba anaanza kufanikiwa uvumilivu umemshinda akalitua pwaaa ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada acha fikiria kabla ya kupost uzi wako.Baada ya kusapoti mziki wetu ufike mbali wewe unaleta majungu. Diamond kautambulisha mziki wetu nje ya nchi ni hatua nzuri lakini peke yake haitoshi tunahitaji n wengine wausukume mziki wetu zaidi ya alipofika diamond hapo tutakuwa na nguvu kubwa angalia Nigeria wapo wengi wasanii ambao wameutambulisha vyema mziki wao duniani. Acha uduwanzi by the way bongo flava siyo ya Diamond na Alikiba peke yake wapo wasanii wengi na tunataka hao wengi autambulishe mziki wetu duniani. Diamond hata akiisha kimuziki leo bongo flava bado itaendelea kuwepo alikiba akaicha kuimba leo bado bongo flava itaendelea kuwepo na watakuja wengine ambao wataupeleka mbele mziki wetu na kuutambulisha duniani zaidi ya huyu kiba na mondi.



Sent from myself
Uselfish wa mond amewaambukiza na mashabiki zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story Ilianzia kwenye Fresh pale Cinderela alipotajwa
Ally akaja na Twitter Akajibu na Malikia wa nguvu akatajwa
Naseeb akarud na Verse ya Pili Omari nae akahusishwa
Omari akaona sio Case na Mama Chibu akapostiwa
Ally Akamaliza na Seduce Me Kick ikaanza
Wasafi wakaja na Zilipendwa Bifu likaongezewa
Mwisho wa siku Kiba ana 2M Viewers na Zilipendwa ina 1.3m Viewers
Chibu Ulicheza mchezo wa Ally Bila kutegemea na mwisho wa Siku Ally ameshinda
Next Time Play your Cards well Bro.
 
Kila msanii anafit..... wigo ni mpana sana

Tatizo team mond mnatafuta justification....

Na mnataka kubishana na 2.2 viewers......


Kuna wapenzi wengi wa mziki wasio na team wanachojali ni mziki mzuri baaaaas

Na sio kila nyimbo Domo atakuwa wa kwanza.....kupitwa kutokana na wateja watakavyoupokea kupo pale pale

Bila kusahau Domo na hawara wake waache kutusi wateja...... haiwezekani ukaungwa mkono kila siku....mitandaoni haiwezekani ukasifiwa daily...kuita wateja wanuka chupi... au..pundaa wanapoteza wateja.... waache kutegemea kiki za kipuuzi....mwisho wa siku watu wanakuwa interested na kiki kuliko mziki

Mameneja wa Domo wazingatie professionalism. ...mameneja kutwa vijembe....wanampoteza


Domo aache kuimba watu.....yaani nyimbo mtu unazipredict kabisa....asipoimbwa wema ataimbwa zari...jokate.... mobeto...

Timing ya kutoa nyimbo


Kudiss wenzake aache

Kudhani kuwa yeyey ni bora kuliko wengine aache....kuna kina aslay wanaimba vizuri kuliko yeye ni wakati tu

Pia kila kitabu na zama zake na watz wakiamua wanakunyoosha tu

Kwa hiyo badala ya mumfariji na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa meambieni ukweli


Mwisho fiesta haikuundwa kwa ajili ya Domo pekee... kila msanii ana nafasi sawa kutegemea na hadhira.....
Umemaliza yotee[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote ni wasanii wazuri sanaaa...ila kiuhalisia diamond ni mkubwa sana kwa alikiba kwa maan diamond kavuk mipaka nje ya Tanzania zaidi ya kiba, anafahamika zaidi ya kiba, anamashabiki wengi nje ya Tz zaidi ya alikiba......ila anaivunja status yake taratibu angekua anakausha tu japo hili week kafanya mziki urudi midomoni mwa watu maaana siasa kwakweli awamu hii imefunika muziki, atrist alivoanzisha hizi chokochoko wadau wamerudi kuukumbuka muziki ,kiuhalisia dai ndie anae uroll mziki wa bongo ukitegemea na maadui wengi aliokua nao,........wote ni wasanii wazuri sanaa ila ukweli no moja kwa sasa ni diamond na wapili ni kiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umeongea ukweli, hao wengine ni mashabiki tu.
 
Story Ilianzia kwenye Fresh pale Cinderela alipotajwa
Ally akaja na Twitter Akajibu na Malikia wa nguvu akatajwa
Naseeb akarud na Verse ya Pili Omari nae akahusishwa
Omari akaona sio Case na Mama Chibu akapostiwa
Ally Akamaliza na Seduce Me Kick ikaanza
Wasafi wakaja na Zilipendwa Bifu likaongezewa
Mwisho wa siku Kiba ana 2M Viewers na Zilipendwa ina 1.3m Viewers
Chibu Ulicheza mchezo wa Ally Bila kutegemea na mwisho wa Siku Ally ameshinda
Next Time Play your Cards well Bro.
Hizo views zinatengenezwa tu,hazina uhalisia.
 
Mtu kama wewe unastahili kutukanwa yaani Alikiba kafanya vizuri unaanza kulalamika akifanya diamond hakuna anayelalamika mara ngapi diamond kasifiwa kwa kufanya vizuri hakuna aliyepinga iweje kwa kiba?Ina maana wewe unaona hastahili?huu ni UKUKU
Wabongo wengine ni wanafiki na wana roho nyeusii!!yaani wao wanataka awe juu mtu mmoja tu kama kweli hawana chuki wampromote jux sasa
Wakubali wamesanda kwenye hili mchawi mondi mwenyewe wasisingizie clouds!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila msanii anafit..... wigo ni mpana sana

Tatizo team mond mnatafuta justification....

Na mnataka kubishana na 2.2 viewers......


Kuna wapenzi wengi wa mziki wasio na team wanachojali ni mziki mzuri baaaaas

Na sio kila nyimbo Domo atakuwa wa kwanza.....kupitwa kutokana na wateja watakavyoupokea kupo pale pale

Bila kusahau Domo na hawara wake waache kutusi wateja...... haiwezekani ukaungwa mkono kila siku....mitandaoni haiwezekani ukasifiwa daily...kuita wateja wanuka chupi... au..pundaa wanapoteza wateja.... waache kutegemea kiki za kipuuzi....mwisho wa siku watu wanakuwa interested na kiki kuliko mziki

Mameneja wa Domo wazingatie professionalism. ...mameneja kutwa vijembe....wanampoteza


Domo aache kuimba watu.....yaani nyimbo mtu unazipredict kabisa....asipoimbwa wema ataimbwa zari...jokate.... mobeto...

Timing ya kutoa nyimbo


Kudiss wenzake aache

Kudhani kuwa yeyey ni bora kuliko wengine aache....kuna kina aslay wanaimba vizuri kuliko yeye ni wakati tu

Pia kila kitabu na zama zake na watz wakiamua wanakunyoosha tu

Kwa hiyo badala ya mumfariji na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa meambieni ukweli


Mwisho fiesta haikuundwa kwa ajili ya Domo pekee... kila msanii ana nafasi sawa kutegemea na hadhira.....
ustaa huwa una muda wake akubali kipindi chake kimepita.hata afanyeje hawezi kuwa staa milele
 
Wabongo wengine ni wanafiki na wana roho nyeusii!!yaani wao wanataka awe juu mtu mmoja tu kama kweli hawana chuki wampromote jux sasa
Wakubali wamesanda kwenye hili mchawi mondi mwenyewe wasisingizie clouds!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
alikuwa busy kuturingishia zari.aendelee na zari wake sisi tupo busy na music na kiba. mond na sallam wana madharau jamani .huwezi amini wanategemea watu kwenye kazi zao
 
Back
Top Bottom