Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

Nliona kuna siku ulichakazwa vibay sana bro kule kwa watanzania wenzako...yani ile si poa haki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afadhali ukatotorokea hku walai

Hehehe ndio zao hawa, kidogo wamepata hifadhi huku....maana kule huwa moto.
 
Masifa zenye hazisaidi uchumi wa nchi,,,,Africa tuko na shida ya akili sana
Wananchiii hawali sifa,,,
Sifa za ujinga achia wazeee wa 1970s

Watanzania hawana shida ya chakula, Watanzania wameneemeshwa na serikali yao kiasi mpaka wagonjwa wanaishi maisha mazuri yenye furaha kuliko mkenya mwenye afya njema ☺

 
We ukubali ukatae shauri yako....lkn sai nimeshweka akilini...nikienda kule kuchungulia mnavyochakazwa nita screenshot kabisa comment za wale jamaa wanaojipipia kenyan news wakijiliwaza...

Ila pole sana mkuu..walivyo kushambulia...ukakimbia kabisa
Lete proof hapa sio kuropoka ropoka
 
Kumbe huaga mkuu we pia unapitia zile thread zao wanvyochkazwa...kwanza wale mhumbili 6 hawaendi kabisa kule
Hehehe ndio zao hawa, kidogo wamepata hifadhi huku....maana kule huwa moto.
 
Hii ndio shida yenu, nimekuambia nenda kascreen shot ulete hapa.
Lete ushahidi hapa sio insha.
We ukubali ukatae shauri yako....lkn sai nimeshweka akilini...nikienda kule kuchungulia mnavyochakazwa nita screenshot kabisa comment za wale jamaa wanaojipipia kenyan news wakijiliwaza...

Ila pole sana mkuu..walivyo kushambulia...ukakimbia kabisa
 
Kumbe huaga mkuu we pia unapitia zile thread zao wanvyochkazwa...kwanza wale mhumbili 6 hawaendi kabisa kule
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
 
We endelea kujitetetea tu...sasa unataka mm niende nianze kupekua post zako...afadhali tu useme nadanganya ndio ujifurahishe
Hii ndio shida yenu, nimekuambia nenda kascreen shot ulete hapa.
Lete ushahidi hapa sio insha.
 
We wacha kulialia hapa....km umeumwa tulia tu...screenshot sileti...utafanya nn kwan
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
 
Wewe si Ulisema bhana nimechakazwa [emoji23][emoji23][emoji23] kitu simple tu lete ushahidi hapa nione.
We endelea kujitetetea tu...sasa unataka mm niende nianze kupekua post zako...afadhali tu useme nadanganya ndio ujifurahishe
 
Ona sasa ulivyojikubali kuwa wewe ni muongo na mkumbafu by nature [emoji23][emoji23][emoji23] sio kila mtu ni mbumbumbu ka nyie.
We wacha kulialia hapa....km umeumwa tulia tu...screenshot sileti...utafanya nn kwan
 

Hakuna lolote...
 
Unabishana na 254 uyo kilaza.simtofautishi na akina mwajuma ndala ndefu.Tanzania atutaki kujisifia kwa data za Google.Tunapiga kazi itajitangaza yenyew.uyo jamaa njaa imechukua sehemu ya ubongo wake
 
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
Ataenda Google kwa akili zake mwana kibera [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si makosa yangu...ni ufipa....yani walivyokuchakaza...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ona sasa ulivyojikubali kuwa wewe ni muongo na mkumbafu by nature [emoji23][emoji23][emoji23] sio kila mtu ni mbumbumbu ka nyie.
 
Sileti[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]endelea kulia
Wewe si Ulisema bhana nimechakazwa [emoji23][emoji23][emoji23] kitu simple tu lete ushahidi hapa nione.
 
Nilikuambia mda ule utume proof hujatuma unacheka cheka hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si makosa yangu...ni ufipa....yani walivyokuchakaza...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…