Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

Nliona kuna siku ulichakazwa vibay sana bro kule kwa watanzania wenzako...yani ile si poa haki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afadhali ukatotorokea hku walai

Hehehe ndio zao hawa, kidogo wamepata hifadhi huku....maana kule huwa moto.
 
Masifa zenye hazisaidi uchumi wa nchi,,,,Africa tuko na shida ya akili sana
Wananchiii hawali sifa,,,
Sifa za ujinga achia wazeee wa 1970s

Watanzania hawana shida ya chakula, Watanzania wameneemeshwa na serikali yao kiasi mpaka wagonjwa wanaishi maisha mazuri yenye furaha kuliko mkenya mwenye afya njema ☺

ECD3exfU8AEFelU.jpeg
 
We ukubali ukatae shauri yako....lkn sai nimeshweka akilini...nikienda kule kuchungulia mnavyochakazwa nita screenshot kabisa comment za wale jamaa wanaojipipia kenyan news wakijiliwaza...

Ila pole sana mkuu..walivyo kushambulia...ukakimbia kabisa
Lete proof hapa sio kuropoka ropoka
 
Kumbe huaga mkuu we pia unapitia zile thread zao wanvyochkazwa...kwanza wale mhumbili 6 hawaendi kabisa kule
Hehehe ndio zao hawa, kidogo wamepata hifadhi huku....maana kule huwa moto.
 
Hii ndio shida yenu, nimekuambia nenda kascreen shot ulete hapa.
Lete ushahidi hapa sio insha.
We ukubali ukatae shauri yako....lkn sai nimeshweka akilini...nikienda kule kuchungulia mnavyochakazwa nita screenshot kabisa comment za wale jamaa wanaojipipia kenyan news wakijiliwaza...

Ila pole sana mkuu..walivyo kushambulia...ukakimbia kabisa
 
Kumbe huaga mkuu we pia unapitia zile thread zao wanvyochkazwa...kwanza wale mhumbili 6 hawaendi kabisa kule
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
 
We endelea kujitetetea tu...sasa unataka mm niende nianze kupekua post zako...afadhali tu useme nadanganya ndio ujifurahishe
Hii ndio shida yenu, nimekuambia nenda kascreen shot ulete hapa.
Lete ushahidi hapa sio insha.
 
We wacha kulialia hapa....km umeumwa tulia tu...screenshot sileti...utafanya nn kwan
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
 
Wewe si Ulisema bhana nimechakazwa [emoji23][emoji23][emoji23] kitu simple tu lete ushahidi hapa nione.
We endelea kujitetetea tu...sasa unataka mm niende nianze kupekua post zako...afadhali tu useme nadanganya ndio ujifurahishe
 
Ona sasa ulivyojikubali kuwa wewe ni muongo na mkumbafu by nature [emoji23][emoji23][emoji23] sio kila mtu ni mbumbumbu ka nyie.
We wacha kulialia hapa....km umeumwa tulia tu...screenshot sileti...utafanya nn kwan
 
Hehehe! Mbona imekuuma ila ndio ukweli, nyuzi kama hizi za tambo zozote huwa naangalia kwanza reactions za Watz kule jukwaa la siasa kabla kujua kama mumezileta huku kwa kutoroka moto kule au ndio mtazamo wa Watanzania wote. Kule kwa sasa hivi hizi sounds za SADC zimeshindwa kuwapooza, watu wanataka solutions to daily basic issues, nyie endeleeni kujificha huku.

Hakuna lolote...
 
Wakenya ninyi vilaza sana hamfahamu lolote kabisa kuhusu Tanzania yaani ninyi ni myopia linapokuja suala la kujua history ya Tanzania

Na sijui kama wenzangu hili mmeliona, kwa muda niliokaa hapa jf nimeushuhudia ombwe kubwa la ufinyu wa akili wa wakenya linapokuja suala la ufahamu juu ya nchi nyingine, nimeshuhudia kauli kutoka kwao wenyewe kwamba Watanzania tunajua mengi sana kuhusu nchi yao na historia yao yote

Lakini mkenya hajui hata history ya Uganda sijui ni mamburura kwenye kusoma vitabu au kupenda kujua history, by the way nilivyokua nasoma shule, somo ambalo lilikuwa likiongoza kwa ufaulu wa jumla kwa wanafunzi wote ni somo la history na ni somo ambalo katika curriculum ya Tanzania limesheheni haswa, sijui labda kutokana na Tanzania kuwa na history kubwa sana na nchi za Afrika ndio maana somo likawa limeshiba dose kiasi hiki au vipi hilo mtanisaidia

Ipo history kubwa sana nyumbu kutoka Norwich hawana walijualo kabisa kuhusu history ya Tanzania, I wish mngepata access TBC ambayo ndio studio iliyosheheni makala kubwa kuhusu Africa liberation struggles in Africa, yaani ndio inaongoza Africa kwa wingi wa contents zinazohusu history mzima ya Africa kwa njia ya videos na audio and much more still pics.

Haina haja ya kujua history ya Tanzania na SADC ndugu zetu sababu haiwahusu, ninyi mkijua yenu na Somalia na Sudan inatosha, Tanzania ni mtambo mkubwa hamuwezi kuumudu, issue inakuja pamoja na umburura wenu kuhusu Tanzania bado mnajifanya vinara wa kuiongelea Tanzania na ndugu zetu SADC as if mnayo tangible facts za kusimamishia hoja, pathetic

Kuna Wakenya wanaamini eti wameizidi Tanzania kwenye sector ya kilimo (niliwashangaa sana kwenye thread ile kwamba hawajui Tanzania ni permanent top 5 player in general agricultural producer in Africa wakati Kenya ikiwa inakokota mkia) mambo haya na mengine mengi ndio yamenifanya nizidi kuwaona hawa watu ni zero brains kubwa

Sasa em tuone namna Nyerere alivyosimamisha uhusiano na beberu la kibritish on the spot juu la dhulma iliyokua ikitendeka huko Southern Rhodesia (mungiki nendeni Google kutafuta huu msamiati wa Southern Rhodesia sababu hakuna kati yenu hata mmoja anajua ni nini hicho)

Hii video inaonesha namna Tanzania haijawahi kuwa na haya wala uoga kwa mabeberu, we confronted them up and demand what we need and they granted ASAP

Video pia inaonesha misuli ya Tanzania kiuchumi kiasi cha kugharamia kila kitu kwa nchi zote za SADC ziwe huru sababu kuna nyumbu mmoja jana nilimshuhudia akijidanganya kwa ushiriki wa Tanzania kwa liberation struggles ulikuwa tu kutoa refuge kwa exiles (pathetic Bwana254 get this in your tiny thick skull you know nothing) kwa hiyo nikaona kweli hawa mburura ni shida.

Just observe mazingira ya Dar, uelewa mpaka wa Watanzania kuhusu haki ya Waafrika wenzao, ujasiri wa Watanzania kuandamana nchi nzima sababu ya kupigania haki ya Waafrika wenzao (but they never did this to Kenya) na Kenya ilipata uhuru baada ya Tanzania lakini Tanzania haikuwahi hata kujisumbua kuona nini cha kuisaidia Kenya, though tunawasaidia kwenye uhuru wa njaa (we are fighting this stomach liberation wars thus mental on their table battlefields daily on behalf) hilo lizingatiwe.

Actually we spoke English like shit ndio maana beberu alituelewa and of course by then English was the educational medium for all levels

Let's see

Unabishana na 254 uyo kilaza.simtofautishi na akina mwajuma ndala ndefu.Tanzania atutaki kujisifia kwa data za Google.Tunapiga kazi itajitangaza yenyew.uyo jamaa njaa imechukua sehemu ya ubongo wake
 
Wewe mkumbafu si umesema nimechakazwa kwenye jukwaa lingine, haya sasa nenda kascreen shot ulete ushahidi hapa.
Au unadhani kusapotiana na mkumbafu mwenzako ndo screenshot ya uliposemea nmechakazwa.
Ataenda Google kwa akili zake mwana kibera [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si makosa yangu...ni ufipa....yani walivyokuchakaza...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ona sasa ulivyojikubali kuwa wewe ni muongo na mkumbafu by nature [emoji23][emoji23][emoji23] sio kila mtu ni mbumbumbu ka nyie.
 
Sileti[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]endelea kulia
Wewe si Ulisema bhana nimechakazwa [emoji23][emoji23][emoji23] kitu simple tu lete ushahidi hapa nione.
 
Nilikuambia mda ule utume proof hujatuma unacheka cheka hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si makosa yangu...ni ufipa....yani walivyokuchakaza...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom