Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

Hili ni tone tu kati ya bahari ya msaada wa Tanzania kwa SADC, tujikumbushe ilivyokuwa.

We're not suckers ,Tz wacheni UONGO ati "bahari la misaada kwa sadc " hakuna chotechote mlichokifanya zaidi ya kuwapa ukimbizi wapiganiaji uhuru Sauzi na Namibia .
 
One mbumbumbu from kenya jikutaring anajuaring Africans historing [emoji23][emoji23][emoji23] sidhani ata ka anajuaring historiaring ya nchi yakering.
We're not suckers ,Tz wacheni UONGO ati "bahari la misaada kwa sadc " hakuna chotechote mlichokifanya zaidi ya kuwapa ukimbizi wapiganiaji uhuru Sauzi na Namibia .
 
Hata South Sudan Garang got trained in Tanzania is only later on Kenya got involved after Tanzania n Uganda got involved!

Not just trained but also benefited from our free education program from Secondary to Dar University.
 
Sasa hyo ndio inaonyeshe wagonjwa wenu wanafuraha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kwanza ukawatembelee wale waliokutwa na ule mkasa...wacha kutafuta kiki za kijinga hku kenyan news
Sana, that pic speaks volumes
 
Yani mpka sai unani quote...mbna umeumwa sana hvo mkuu...suluhisho uwache kwenda kw yale majukwaa yenu...manake wale ndo watanzania halisi wenye wanaonyesha vp akili zao zipo zipo tu...komaa hku hku afadhali
Uache uongo na umbumbumbu
 
Sasa hyo ndio inaonyeshe wagonjwa wenu wanafuraha...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kwanza ukawatembelee wale waliokutwa na ule mkasa...wacha kutafuta kiki za kijinga hku kenyan news
Hujaona video Magufuli akiwatembelea na kumwaga mihela mpaka wagonjwa wanacheka? Tanzania sio Kenya
 
Hawa watu ni wa pumbavu, mpaka CIA wanajua ushiriki wa Tanzania kwenye ukombozi wa bara la Afrika

Wasome hiki kipande cha "CIA secret publication" kinachoonesha kwamba Tanzania ilishiriki mpaka ndani kabisa kwenye mazungumzo juu ya uhuru wa Zimbabwe

View attachment 1183379
Wakenya ni vichwa maji wapenda sifa sehemu ambayo haipo. Hata ungewaeleza vipi vichwa vyao vimejaa maji
 
Nilitegemea kuiona hii comment ndio maana mnaongoza kwa slum's duniani
Hehehe!! Kenya inawatesa sana nyie, nimekuja nikitazamia kusoma kuhusu hii historia ambayo huwa mnasema mlivyoikomboa Afrika na kuwasababishia umaskini ambao umekidhiri kwenu hadi leo, nimeishia kwenye aya/paragraph ya pili na kushindwa kuendelea maana hamna jipya, ni yale yale ya Kenya hiki Kenya kile, Wakenya hivi Wakenya vile....Hakuna sehemu mnaweza kukamilisha chochote bila kulia lia kuhusu Wakenya.

Bado nawakumbushia, yote haya hayana umuhimu kwa maisha ya leo, vijana wanataka ajira, umaskini umekolea, vyuma vimekaza, msipotumia akili kufanikisha biashara ya maana baina yenu na hao Wasouth, hizi mbwembwe hazitawasaidia vijana wenu ambao hawakumuona huyo Nyerere wala Mandela. Leo hii hampo hata ndani ya kumi na tano bora kati ya mataifa yanayofanya biasahara na Wasouth licha ya kupewa visa bure.
Bado mnatajwa kwenye ndani ya mataifa maskini wa kutupwa dunia hii
Omba omba wenu wanazunguka kwenye nchi za majirani wenu....

focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png


 
Wewe si Ulisema nimeenda kwenye yale majukwaa, ili kudhibitisha kauli yako ya jana lete screenshot hapa tuone [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mpka sai unani quote...mbna umeumwa sana hvo mkuu...suluhisho uwache kwenda kw yale majukwaa yenu...manake wale ndo watanzania halisi wenye wanaonyesha vp akili zao zipo zipo tu...komaa hku hku afadhali
 
Sileti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na utazidi kuumia na huu ukwel...yani hapo karoho kanakuuma mpka basi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Usijali...haina haja ukatukanwe bure kule...we tulia hku tu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe si Ulisema nimeenda kwenye yale majukwaa, ili kudhibitisha kauli yako ya jana lete screenshot hapa tuone [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niumie kisa mkumbafu kama ww mwenye anapenda kuropoka alafu akibanwa anatafuta visingizio [emoji23][emoji23][emoji23]
Sileti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na utazidi kuumia na huu ukwel...yani hapo karoho kanakuuma mpka basi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Usijali...haina haja ukatukanwe bure kule...we tulia hku tu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ligi kati ya Tanzania na Kenya hazitakaa ziishe... kwa nini wa-Kenya wasiwe wapole kwa Tanzania kama wenzao wa-Ganda...



Cc: mahondaw
 
We're not suckers ,Tz wacheni UONGO ati "bahari la misaada kwa sadc " hakuna chotechote mlichokifanya zaidi ya kuwapa ukimbizi wapiganiaji uhuru Sauzi na Namibia .
Duh "chotechote" hii lugha ipi!!!??
 
Back
Top Bottom