GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Linastawi Tanzania?
Linatumikaje?
Linatumikaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezi kua chai hio😄😄 japo siijui mirungiKama sio chai ni mrungi
Mirungi hiyoLinastawi Tanzania?
Linatumikaje?
MirungiKama sio chai ni mrungi
Mirungi si "haramu"?Mirungi hiyo
Huo mziki kwenye video UNAKERA the voice is bad, annoying and irritating.Linastawi Tanzania?
Linatumikaje?
Kama unaijua chai na umesema sio chai usiogope kusema nimrungi mkuu. Au unaogopa utaonekana unatumiaHaiwezi kua chai😄😄 japo siijui mirungi
Mirungi sababu kuu kwann Kenya ina njaa!Haiwezi kua chai😄😄 japo siijui mirungi
opiumLinastawi Tanzania?
Linatumikaje?
Mkuu ni vigumu sana kujichanganya kwenye majukwaa mengine itifaki yako ni Kenya forum inakuwaje leo huku?Mirungi sababu kuu kwann Kenya ina njaa!
Hivi Kuna product inayotokana na mirungi au unaliwa mzizi wenyewe? Namaanisha Kama cocaine zao ke ni opium poppy na eucaryptus coca. Je mirungi inatengenezwa na niniopium
Na mirungi haiwi mikubwa hivyo.Haiwezi kua chai hio😄😄 japo siijui mirungi
Na mirungi haiwi mikubwa hi
Ailiwi mizizi bali majani yake mateketeke na yakishakomaa na kuwa magumu hayafai tena.Hivi Kuna product inayotokana na mirungi au unaliwa mzizi wenyewe? Namaanisha Kama cocaine zao ke ni opium poppy na eucaryptus coca. Je mirungi inatengenezwa na nini
Serious mkuu? Inajiotea tu shambani kwangu pembeni ya korongo la mto especially kipindi hiki cha mvua nzito alafu hakuna mtu anayeijua zaidi yangu pale.Mimi sijawahi iona
Huwa unaitumiaje?Serious mkuu? Inajiotea tu shambani kwangu pembeni ya korongo la mto especially kipindi hiki cha mvua nzito alafu hakuna mtu anayeijua zaidi yangu pale.
Labda mkokaaaa n jamii ya mirungi yanaliwa majani yake...Na mirungi haiwi mikubwa hivyo.