Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hapa Tanzania linapatikana wapi?Labda mkokaaaa n jamii ya mirungi yanaliwa majani yake...
Inatibu nini?dawa
Ndilo jina lake la Kisayansi?Skankaa!
As nimesema labda so sifahamu kiundani...Kwa hapa Tanzania linapatikana wapi?
Hiyo ni mirungi na hapo ni Kenya, wao ni zao la biashara na husafirishwa kwenda ulaya.
Linalimwa Arusha au linaingizwa kwa njia za panya?Hiyo ni mirungi na hapo ni Kenya, wao ni zao la biashara na husafirishwa kwenda ulaya.
Arusha ndipo mahali pake.
Soma vizuri nilichokiandika.Linalimwa Arusha au linaingizwa kwa njia za panya?
Nafikiri ni bidhaa haramu Tanzania.
Inawezekana piaLabda mkokaaaa n jamii ya mirungi yanaliwa majani yake...
Nilishawahi kuitumia way back nilipokuwa Arusha kikazi kufuata mkumbo wa marafiki haha na nilishaacha kipindi kirefu sanaHuwa unaitumiaje?
Chai