Hahahaha jamaa goigoi sana sijui huwa linategemea nini kuwa namna ile katika dunia hii ya ushindaniKiba bwenyenye limezubaa sana kidog hamonenga anweza qkahimili vishndo vya mond sababu walikua bega kwa bega
Clouds wanachojua wanakutumia baadae wanakutema Yuko wapi aslay? Sikuizi nimeona hata ngoma za kiba hawapigi.Ila safari hii clouds wameshikwa pabaya na wasafi naona kitendo Cha mondy kuwasajili kitenge na edo kumwembe kimewaharibu kisaikolojiaNinatabiri anguko kubwa Sana la clouds.
Pia natabiri anguko kubwa zaidi la harmonize.
Comment hii naomba ibaki hapa kwa mwaka m1 tu.
Kweli manHahahaha jamaa goigoi sana sijui huwa linategemea nini kuwa namna ile katika dunia hii ya ushindani
Kweli kabisa mzee babaKila zama na kitabu chake, mkubali tu zama za clouds bongo zimeshapita.. watajaribu sana ila hawatashinda
"Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond. "Kwa kipindi kirefu clouds fm wamekua wakihaha kubrand wasanii wenye vipaji vikali ili kupata mtu ambae ataweza kutake over diamond platnumz..
Mfano hawakina Marioo, na wengine wengi.
So baada ya harmo kutoka WCB basi nilijua hapa clouds wanaenda kuchukua there best shot waliokuwa wakiihangaikia kwa miaka yote.
Sasa naombeni mkae mkao wa kushuhudia promo atakazokua anapigiwa harmonise hamtoamini.
Yani wanaamini kabisa the guy is going to take over diamond.View attachment 1237273