joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Umeuliza kipindi cha nyuma au kipindi cha nyuma na hivi sasa kuna tofauti gani?Tatzo nilipoandika hivo umekimbilia kumuwaza Harmonize
Nisiwe mnafki, hapo umenifanya nifikirie sana,,,,na nimekosa cha kukujibu mkuu"Sasa je, unadhani Harmo na Ali wanafanana karika spirit ya mapambano ya kimuziki!!?"
Kipindi cha nyuma wakati Harmonize anatoka,humu kulikuwa na thread nyingi za kumponda Harmonize sauti yake inafanana na Diamond.Mondi alifight sana kumpromoti Harmonize ,Harmonize akawa anatoa nyimbo mfulizo,huku Diamond akawa anajizuia kutoa nyimbo ili watu waizoee sauti ya Harmonize waitofautishe na yake.
So spirit ya mapambano ya Harmonize nyuma yake alikuwa anapewa support kubwa na Diamond,plus Sallam na ndio maana kwa WCB ,Harmonize alifanikuwa kufanya kolabo na wasanii wakubwa kuliko ,Msanii yoyote yule.Je sasa hivi connection kama hizi anazo? Je atatokea mtu wakusucrifice kama alivo fanya Diamond kumpigania mpaka kuwa msanii mkubwa ,wakati mwanzo walikuwa wana mponda mara hoo hajui kuimba,mara sauti yake inafanana na Diamond.
Sijajua kuhusu efm,,,,mana hawajawahi kuwa na tatizo na wcb wala harmo, na ngoma zake since before zinalindima sana pale.......sasa sidhani kama wao kumpost kunaleta mshangao wowote,,,,hiyo post imekuaminisha kuwa clouds wana nia ya kumshusha msanii mwingine.
je na efm pia nia yao ni hiyo?
Nikuambie kitu ,tuyaache haya mambo,ila muda utaongea tu,mziki wa sasa hivi upo open sana anayefanya vizuri anaonekana na anayefanya vibaya anaonekana.Nisiwe mnafki, hapo umenifanya nifikirie sana,,,,na nimekosa cha kukujibu mkuu
unafahamu mahusiano baina ya meneja mpya wa Harmonize na Clouds media??Sijajua kuhusu efm,,,,mana hawajawahi kuwa na tatizo na wcb wala harmo, na ngoma zake since before zinalindima sana pale.......sasa sidhani kama wao kumpost kunaleta mshangao wowote,,,,
Am talking about watu ambao hawajawahi kupiga mziki wake wala kumsupport kwa takribani miaka kadhaa sasa,,,
So leo kumpost imekuwa ni jambo la kushangaza na kufanya watu kujiuliza, why? What is happening? And what next?
KabisaNa hyo ndo inafanya mim nione kuwa Harmonize hata bila WCB anaweza kupiga mzigo fresh na raia tukaelewa....kikubwa juhudi, ubunifu na ujanja tu
Still wanafanya hivyo mara zote, ila pia wasanii wanafeli kwa kutojitambua, wanaishia kubweteka na promo zisizowajenga kuwa bora. Mfano ni Alikiba.Yaani hiki kitendo cha clouds kumbrand msanii fulani ili kumshusha mwingine hua kinawaharibia sifa sanaa.
Hivi unafahamu ya kwamba chanzo cha Mondi kugombana na Clouds Media ilikua ni kutetea maslahi ya Harmonize?..Yaani namaanisha chanzo cha ugomvi kati ya WCB na Clouds Media ni Harmonize?unafahamu mahusiano baina ya meneja mpya wa Harmonize na Clouds media??
Mgogoro upo baina ya mnagament ya wcb na clouds media, leo hii Harmo hayupo tena wcb. simple tu kun'gamua.
Hili nalo lina ukweli....wana nguvu ivii...ukizingatia na wanavyojua ku promote kazi zao. Pia ni radio ambayo inasikilizwa sana na watu wengi. Wingi wa matangazo ya biashara unawaweka juu.Ukiacha wasanii waliopo WCB..wasanii wengine wote bongo wanaiona Clouds as there first target,they can't even mess with them...Hawa jamaa bado wananguvu sana kwenye Industry hii ya burudani bongo
Mi nashangaa sana wasanii wengi wakubwa wanashindwa kuandaa show kabisa adi wasubiri Fiesta mfano Fid q ...Still wanafanya hivyo mara zote, ila pia wasanii wanafeli kwa kutojitambua, wanaishia kubweteka na promo zisizowajenga kuwa bora. Mfano ni Alikiba.
Nafikiri ishu si Harmonize pekee, ila timu iliyo nyuma kazi zake wana jukumu kubwa zaidi la yeye kufanya vizuri au kuharibu.Na hyo ndo inafanya mim nione kuwa Harmonize hata bila WCB anaweza kupiga mzigo fresh na raia tukaelewa....kikubwa juhudi, ubunifu na ujanja tu
Mashabiki zake wenyew wamechoka, jamaa habebeki