INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,343
Humu comment za watu wakitaka huyu msanii a fail zitakuwa kwa wingi ..kikubwa tuu tumtakie heri maana hakianguka au kufanikiwa sisi haiongezi pesa mifukoni kwetu.
zaidi zaidi kodi itapungua coz atakuwa haingizi sana kwa sababu unalipa kadri ya mapato uliyopata( pay as you earn [PAYE])
Tuko pamoja mkuu
Ninatabiri anguko kubwa Sana la clouds.
Pia natabiri anguko kubwa zaidi la harmonize.
Comment hii naomba ibaki hapa kwa mwaka m1 tu.
Eti na Moto ni ule ule.Hiyo clouds mlianza kuitabiria anguko miaka na miaka ila bado tu inachanja mbuga na moto ni ule ule
kinachokuja kuuma ni hiki yan"Sasa je, unadhani Harmo na Ali wanafanana karika spirit ya mapambano ya kimuziki!!?"
Kipindi cha nyuma wakati Harmonize anatoka,humu kulikuwa na thread nyingi za kumponda Harmonize sauti yake inafanana na Diamond.Mondi alifight sana kumpromoti Harmonize ,Harmonize akawa anatoa nyimbo mfululizo,huku Diamond akawa anajizuia kutoa nyimbo ili watu waizoee sauti ya Harmonize waitofautishe na yake.
So spirit ya mapambano ya Harmonize nyuma yake alikuwa anapewa support kubwa na Diamond,plus Sallam na ndio maana kwa WCB ,Harmonize alifanikiwa kufanya kolabo na wasanii wakubwa,kuliko msanii yoyote yule.Je sasa hivi connection kama hizi anazo? Je atatokea mtu wakusucrifice kama alivo fanya Diamond kumpigania mpaka kuwa msanii mkubwa ,wakati mwanzo walikuwa wana mponda mara hoo hajui kuimba,mara sauti yake inafanana na Diamond.
Harmo hashindani na mtuu ila pale wcb hakuna anaye mfikia harmonize
Kwa kauli yako tu teyali umeshajifunga.Harmo hashindani na mtuu ila pale wcb hakuna anaye mfikia harmonize
Haya maanguko yenu mbona huwa siyaoni kabisa yanavyotokea?Ninatabiri anguko kubwa Sana la clouds.
Pia natabiri anguko kubwa zaidi la harmonize.
Comment hii naomba ibaki hapa kwa mwaka m1 tu.
dont take anything for granted hamkumbuki ile methali tenda wema uende zako? inakuwaje sasa mnademand a favour in return mnaonekana watu wa ajabu sana.. hivi zile account mmeshamwachia au bado mmezishikilia?kinachokuja kuuma ni hiki yan
umespend time yako kumwagilia mti kuutunza mpaka umekua umeanza kutoa matunda msimu wa kwanza ila bado hata hujaufaidi anakuja mtu anajimilikisha pasipo kuona jasho ulilotumia daaaah inauma sana
Kwasababu unaharaka.Haya maanguko yenu mbona huwa siyaoni kabisa yanavyotokea?
makalio weweNinatabiri anguko kubwa Sana la clouds.
Pia natabiri anguko kubwa zaidi la harmonize.
Comment hii naomba ibaki hapa kwa mwaka m1 tu.
Pakunyea wewe.makalio wewe
Huyo jamaa fala sana , anajifanya mtaalam wa kutukanaPakunyea wewe.