Hili nimeliona peke yangu tu au?

Hili nimeliona peke yangu tu au?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila mara tu nimwonapo Mama yetu wa Kizanzibari akikutana na Mzee Wetu Mstaafu wa Pwani Bagamoyo naona huwa anafurahi na kuwa na 'Bashasha' nyingi sana zenye Mithili ya Kimahaba ( Upendo wa Kibaiolojia ) zaidi.

Binafsi natamani mno kama hawa ( huyu Mama Mzanzibari na Mzee wa Kipwani ) kama wangekuwa Mke na Mume kwani 'Matabasamu' yao ya 'Kimahaba' huku wakiwa wanaoneana 'Aibu' inaleta Raha na Burudani Kuwaangalia hasa kwa Sisi Wadau 'Tukuka' wa Mapenzi ( Upendo )

Zanzibar na Bagamoyo ni Kuzuri mno tu.
 
Ndicho kilichobaki kwa sasa, kubebishana --- maendeleo yaliyoimbwa kwenye kampeni si kipaumbele kwa sasa. Yamebaki magofu tuuuuu ya hotuba ambazo baadhi huziita kuwa tamu. Tamu!??? Shame on you. Nchi hii imerudishwa nyuma hatua 1000 za maendeleo kwa naivity, woga, ulimbukeni, na kupenda kusifiwa na kusemwa vizuri kwa huyu Bi Mkubwa.
 
Ndicho kilichobaki kwa sasa, kubebishana --- maendeleo yaliyoimbwa kwenye kampeni si kipaumbele kwa sasa. Yamebaki magofu tuuuuu ya hotuba ambazo baadhi huziita kuwa tamu. Tamu!??? Shame on you. Nchi hii imerudishwa nyuma hatua 1000 za maendeleo kwa naivity, woga, ulimbukeni, na kupenda kusifiwa na kusemwa vizuri kwa huyu Bi Mkubwa.

Miezi miwili ndo kumebaki magofu?
Utaugua uchizi soon
Magufuli is dead and buried...
 
Miezi miwili ndo kumebaki magofu?
Utaugua uchizi soon
Magufuli is dead and buried...


For your information: His name is rightly and permanently preserved in ALL the capitals of African soil and souls. Umenipata!??? You can do as much superstitious political blunders as you can and please, but never will we, even for a moment, be fools anymore. Those days are gone forever. His noble legacy is unfutikable, so to speak!!!
 
Wangenuniana ungeuliza pia... Umeona picha ya rais akiwa na Isdori?
 
Nimetaka kukutukana tusi kubwa nikakumbuka kuna Ban huku. Nikajisemea mse***** mmoja asiwe sababu yakupata Ban
 
Back
Top Bottom