Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Haiingii Akilini Mlinzi unaagana nae Usiku Saa 4 unamuacha kakaa Lindoni huku Taa inammulika, ukiamka Usiku Kimachale ili nawe pia kufanya Lindo lako la Kisirisiri kwani Siku hizi hakuna Kuaminiana bado unamkuta kakaa pale pale Taa inammulika halafu Asubuhi ukiamka na Kukutana nae anakuambia Mazingira yako Salama wakati Wewe muda wote umemkuta akiwa pale pale ulipoagana nae jana Usiku wa Saa 4.
Halafu sasa kwa kuomba Nyongeza ya Mishahara wako vizuri kweli kweli. Mlinzi analinda Usiku huku Kafungulia Redio za Kisasa za Kichina kwanini Mwizi au Jambazi asijue uliko kisha akulie Timing aje Kukupiga Kitofa ( Jiwe la Utosini ) Ufe halafu aanze Kuiba?
Na wenye Walinzi punguzeni Mazoea nao sana kwani Wakishakuzoea tu hata ule Ufanisi wa Kazi hapo Kwako unapungua na sasa badala ya kukuona Wewe Mshikaji anaanza Kukuzoea kiasi kwamba hata Ratiba za Chakula chako na Familia anazijua au anataka Kuzijua na ukifanya mzaha hata Kukubandulia na Wanafamilia wako atakubandulia tu.
Shikamooni Walinzi.....!!
Mlinzi ni asilimia 50% na ww mwenyewe ni asilimia 50% yaani umemuacha mwenzako nje ili akustue panapotokea tatizo !! Sasa atakustuaje?Unakuta mlinzi kibabu cha miaka 60. Kimekondeana kwa lishe duni. Silaha pekee anayomiliki ni rungu na firimbi. Halafu jitu linakoroma ndani akiamini analindwa.
Likitokea la kutokea mlinzi anaomba msaada kwako anaepaswa kukulinda.
Wabongo huwa tunashindwa kutofautisha shamba/boy/mfungua gate na mlinzi. Tunachukulia ulinzi kiwepesi kabisa.
Dunia ya leo mambo ya kuweka wamasai mlangoni yamepitwa na wakati. Ni mwendo electric fence, motion detectors, CCTV na kuwa na cha moto ndani. Ukisikia purukushani ne unamfyatua mtu za matako.
Baada ya yote mlinzi ni Mungu tu, mengine mbwembwe.
Baadae rudi ukaote nao moto halafu uguse geti. Utakuja hapa kutoa ushuhuda mkuu. Kila laheriKule kwetu nilikatiza usiku saa saba hivi kwenye hoteli fulani nikakuta walinzi wa sehemu zingine karbu wapo wote na redio na jiko la mkaa wanachoma mahindi cha ajabu walinikalibisha pia yaani hawaulizi unafanya nn usiku wao wanaangalia sura tu
Mkuu natamani uone nilivyocheka kwa hii Post yako kwani kwa 100% umesema Ukweli mtupu na nakuunga mkono pia.Mlinzi anavizia akuibie.. mlinzi unamlipa laki na ishirin kwa nn asilale wewe ukienda kulala?
Uliposema tu kuwa alikuwa ni Mmakonde nimeshajua kwanini Wezi walikuwa hawaendi Kuba hapo. Wamakonde noma.Kuna babu mmoja mmakonde alikuwa analinda hardware fulani hapo Dar maeneo ya msasani kwa muda mrefu sana. Huyo babu amelinda hiyo hardware tokea ikiwa ndogo hadi kuwa hardware ya jumla na rejareja yenye mtaji mkubwa.
Kwa ufupi hiyo hardware na maduka ya jirani hayakuwahi kuibiwa kabisa wakati babu akiwa analinda. Yule Mzee baadae alifariki, wakabadilisha walinzi na kila mara wakawa wanaibiwa.
Yule babu alikuwa ikifika muda analala na hakuna mtu aliyekuwa anaiba.
Najiulizaga mpaka sasa yule babu alikuwa anatumia mbinu gani au teknolojia gani sijapata jibu.
Najaribu kupata point yako ni ipi lakini nimeshindwa,Haiingii Akilini Mlinzi unaagana nae Usiku Saa 4 unamuacha kakaa Lindoni huku Taa inammulika, ukiamka Usiku Kimachale ili nawe pia kufanya Lindo lako la Kisirisiri kwani Siku hizi hakuna Kuaminiana bado unamkuta kakaa pale pale Taa inammulika halafu Asubuhi ukiamka na Kukutana nae anakuambia Mazingira yako Salama wakati Wewe muda wote umemkuta akiwa pale pale ulipoagana nae jana Usiku wa Saa 4.
Halafu sasa kwa kuomba Nyongeza ya Mishahara wako vizuri kweli kweli. Mlinzi analinda Usiku huku Kafungulia Redio za Kisasa za Kichina kwanini Mwizi au Jambazi asijue uliko kisha akulie Timing aje Kukupiga Kitofa ( Jiwe la Utosini ) Ufe halafu aanze Kuiba?
Na wenye Walinzi punguzeni Mazoea nao sana kwani Wakishakuzoea tu hata ule Ufanisi wa Kazi hapo Kwako unapungua na sasa badala ya kukuona Wewe Mshikaji anaanza Kukuzoea kiasi kwamba hata Ratiba za Chakula chako na Familia anazijua au anataka Kuzijua na ukifanya mzaha hata Kukubandulia na Wanafamilia wako atakubandulia tu.
Shikamooni Walinzi.....!!
Nishawahi fanya hii kazi. Walinzi wanalala usiku na ukijichanganya unaibiwa vizuri tu... Walinzi sio wajinga kama mnavyofikiriMkuu natamani uone nilivyocheka kwa hii Post yako kwani kwa 100% umesema Ukweli mtupu na nakuunga mkono pia.
Marhabaa....!!Shikamooni Walinzi.....!!
Ebana ni tabora nini ipuli?Kuna babu mmoja mmakonde alikuwa analinda hardware fulani hapo Dar maeneo ya msasani kwa muda mrefu sana. Huyo babu amelinda hiyo hardware tokea ikiwa ndogo hadi kuwa hardware ya jumla na rejareja yenye mtaji mkubwa.
Kwa ufupi hiyo hardware na maduka ya jirani hayakuwahi kuibiwa kabisa wakati babu akiwa analinda. Yule Mzee baadae alifariki, wakabadilisha walinzi na kila mara wakawa wanaibiwa.
Yule babu alikuwa ikifika muda analala na hakuna mtu aliyekuwa anaiba.
Najiulizaga mpaka sasa yule babu alikuwa anatumia mbinu gani au teknolojia gani sijapata jibu.
Wanga? [emoji23] [emoji23]Uliposema tu kuwa alikuwa ni Mmakonde nimeshajua kwanini Wezi walikuwa hawaendi Kuba hapo. Wamakonde noma.
Binadamu Usiku tumeumbwa tulale mlinzi hawezi kuwa timamu usiku mzima bila kuwa na push factors...hili ni somo siku nikipata muda nitaliweka hapa vizuri.Haiingii Akilini Mlinzi unaagana nae Usiku Saa 4 unamuacha kakaa Lindoni huku Taa inammulika, ukiamka Usiku Kimachale ili nawe pia kufanya Lindo lako la Kisirisiri kwani Siku hizi hakuna Kuaminiana bado unamkuta kakaa pale pale Taa inammulika halafu Asubuhi ukiamka na Kukutana nae anakuambia Mazingira yako Salama wakati Wewe muda wote umemkuta akiwa pale pale ulipoagana nae jana Usiku wa Saa 4.
Halafu sasa kwa kuomba Nyongeza ya Mishahara wako vizuri kweli kweli. Mlinzi analinda Usiku huku Kafungulia Redio za Kisasa za Kichina kwanini Mwizi au Jambazi asijue uliko kisha akulie Timing aje Kukupiga Kitofa ( Jiwe la Utosini ) Ufe halafu aanze Kuiba?
Na wenye Walinzi punguzeni Mazoea nao sana kwani Wakishakuzoea tu hata ule Ufanisi wa Kazi hapo Kwako unapungua na sasa badala ya kukuona Wewe Mshikaji anaanza Kukuzoea kiasi kwamba hata Ratiba za Chakula chako na Familia anazijua au anataka Kuzijua na ukifanya mzaha hata Kukubandulia na Wanafamilia wako atakubandulia tu.
Shikamooni Walinzi.....!!
Hakuna neno Kuajili ( kama ulivyoandika hapa ) katika Lugha ya Kiswahili bali kuna neno la Kuajiri. Tatizo lenu mnakuja Kuchangia Mada zangu hapa JamiiForums huku mkiwa na Chuki nami ambaye mnanichukia pasipo sababu halafu Mungu anawalaani kiasi kwamba hadi mnakosea hata Kuandika vyema maneno Sanifu ya Lugha yetu pendwa na tukuka ya Kiswahili.Tabia ya kuajili wafungua mageti mnawaita walinzi sisawa