Unakuta demu ana wigi LA bluu au kijana afu ukiligusa anakwambia utanitibulia nywele zangu!
Kwahili nawatetea kabisaaa Bora hiyo kuliko wigi la bluu[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahili nawatetea kabisaaa Bora hiyo kuliko wigi la bluu[emoji3][emoji3]
Njoo ule daku we kizee unakimbilia wap[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nakimbia ili kupunguza shibe ya futariNjoo ule daku we kizee unakimbilia wap
Wasalimie huko naona sahz ushavimbiwaNakimbia ili kupunguza shibe ya futari
unasema ukweli mtupuWanaume hawajawahi kupenda au kuvutiwa na mawigi mkuu! Sisi wanaume ni wanafiki sana mkuu lazime tuwaridhishe kwa kauli mnazopenda
Njoo nikupe ubuyu mbibiWasalimie huko naona sahz ushavimbiwa
Kumamoto😂😂 we jamaa umenichekesha mbayaa..daah weekend hii.Jf daahKule Japan Kumamoto jina la mtu kwetu sie itakuwaje? Nao wasitumie hilo jina kwasababu ina maana tofauti na Tanzania.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Watabandua ngozi ya kichwani wabaki na fuvu tu.Na bado tu, watanyoa hadi viparaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watabandua ngozi ya kichwani wabaki na fuvu tu.
Unaelewa tu kama GT bila editing mkuu.Heading na content maji na mafuta
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Njoo nikupe ubuyu mbibi
[emoji57]Sie hatuna jema nanyi ilimradi tuwaseme...utamu wa maisha ni mwanaume na mwanamke kuishi kama Tommy and Jerry
0713800880Halafu Cookie naomba namba yako ya simu
Msivae yale makatani wala msinyoe. Tunzeni vizuri nywele zenu za asili mtapendeza sana.Tumevaa mawigi mmetusema, tumeamua kunyoa mnatusema pia.
Huwezi mchagulia mtu style yake , wengine hawapendi kusuka wanapenda kunyoa hizo nywele asili.Msivae yale makatani wala msinyoe. Tunzeni vizuri nywele zenu za asili mtapendeza sana.
Huwezi mchagulia mtu style yake , wengine hawapendi kusuka wanapenda kunyoa hizo nywele asili.