Hili ongezeko la wanawake kunyoa panki/denge/kiduku ni kwamba ma-sponsor wamegoma kulipia za kusuka?

Hili ongezeko la wanawake kunyoa panki/denge/kiduku ni kwamba ma-sponsor wamegoma kulipia za kusuka?

vile visichana vidogo vya bar karibia vyote huwa vinanyoa hivi ila wanapendezaga watavutia sana wengine ile minywele ya saluni hata haivutiagi
 
Kule Japan Kumamoto jina la mtu kwetu sie itakuwaje? Nao wasitumie hilo jina kwasababu ina maana tofauti na Tanzania.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Kumamoto😂😂 we jamaa umenichekesha mbayaa..daah weekend hii.Jf daah
 
Msivae yale makatani wala msinyoe. Tunzeni vizuri nywele zenu za asili mtapendeza sana.
Huwezi mchagulia mtu style yake , wengine hawapendi kusuka wanapenda kunyoa hizo nywele asili.
 
Back
Top Bottom