Hili ongezeko la wanawake kunyoa panki/denge/kiduku ni kwamba ma-sponsor wamegoma kulipia za kusuka?

my crush ananyoa hvo aiseh, kifuoi anapendeza hadi sio vizuri na miwano yake kwa mbali naweza dhan malkia wa nchi fulani.... Wengi wanaonyoa wanalook classy na wanapendeza sana
Mwenyewe manz angu nilimshauri anyoe ana looks sexy sana bila wigi. Kwanza huwa linamzeesha sana
 
Kwani mvi zimeanza? Mbona sikuwahi kuona za kule[emoji16][emoji16][emoji16][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mbona hamchoki kuwasema hawa wadada jamani wamewakosea nini? Wakisuka mnawasema, wakiweka mawigi mnawasema, wakinyoa mnawasema. Tatizo nini?? Wanaume tuache hizo mambo bana tufanye kazi.
 
Wabaki nechoroo
Mbona hamchoki kuwasema hawa wadada jamani wamewakosea nini? Wakisuka mnawasema, wakiweka mawigi mnawasema, wakinyoa mnawasema. Tatizo nini?? Wanaume tuache hizo mambo bana tufanye kazi.
 
Wabaki nechoroo
Natural ndio hivyo sasa wananyoa. Au mnataka wanyoe kipara kama papuchi ya mwari?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Wako vizuri sana wakinyoa kuliko kusuka wakae Na nywele mwezi bila kuosha
 
Market price.


Wanaume wanapenda wanyoa viduku siku hizi
 
kwani hela ya kunyolea tunayotoa yenyewe sio pesa halali?
 
Heeee,ever knew this!
 
ukienda pale cutting master... utagundua kuwa wanyoaji wengi ni wasichana yaan unaweza ukadhan ni saloon ya kike kwa ajili yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…