kupukupu
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 499
- 1,094
habari ndugu wanasheria na wadau wa JF!
Kuna mtu amekopeshwa pesa huku akiweka nyumba yake kama dhamana endapo atashindwa kulipa deni, aliwasilisha offer ya kiwanja palipo hiyo nyumba maana alidai kwamba hati ya nyumba bado hajapata.
Baada ya kufanyika hayo makabidhiano (kimaandishi) mbele ya mwana sheria, imekuja kugundulika kwamba huyu mtu anayo hati ya kiwanja tofauti na alivyosema (alidanganya).
Je, inaruhusiwa kwa mtu mmoja kumiliki offer na hati ya kiwanja kwa wakati mmoja?
Ipi njia sahihi kisheria inaweza kutumika kukabiliana na huyu mtu.?
NB; nimejaribu kufanya mawasiliano na muhusika kadai kwamba hati ya kiwanja kaipata kipindi cha hivi karibuni japo kagoma kuiwasilisha hiyo hati.
Kuna mtu amekopeshwa pesa huku akiweka nyumba yake kama dhamana endapo atashindwa kulipa deni, aliwasilisha offer ya kiwanja palipo hiyo nyumba maana alidai kwamba hati ya nyumba bado hajapata.
Baada ya kufanyika hayo makabidhiano (kimaandishi) mbele ya mwana sheria, imekuja kugundulika kwamba huyu mtu anayo hati ya kiwanja tofauti na alivyosema (alidanganya).
Je, inaruhusiwa kwa mtu mmoja kumiliki offer na hati ya kiwanja kwa wakati mmoja?
Ipi njia sahihi kisheria inaweza kutumika kukabiliana na huyu mtu.?
NB; nimejaribu kufanya mawasiliano na muhusika kadai kwamba hati ya kiwanja kaipata kipindi cha hivi karibuni japo kagoma kuiwasilisha hiyo hati.