Hili suala la timu ya kigeni kuja na kila kitu chake na kukataa vitu vilivyoandaliwa kwaajili yao limekaaje kikanuni?

Hili suala la timu ya kigeni kuja na kila kitu chake na kukataa vitu vilivyoandaliwa kwaajili yao limekaaje kikanuni?

Waulizwe NYUMA MWIKO FC,,wao ndy waliokwenda kuwaambiya wapinzani wa simba kwamba wakija wawe makini nq vyakula na malazi yao,,
Kwamba simba watawawekea sumu kwenye chakula na vyumba vya kubadilisha nguo.
Una ushahidi na hili au unaongeaongea tu kama umepinduka na boti baharini?
 
Back
Top Bottom