Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Simba Sports Club
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luc Eymael anasema YANGA NI MBWA NA NYANI. HAWANA AKILI. NMEAMINI. MORRISON HACHEZI SIMBA. KACHEZA KAMALIZA LIGI. Sasa mtapewa hoja nyingine mhangaike nayo. Simba mabingwa mara 4 MFULULIZO. CAF,CAS,FIFA WOTE WANAIBEBA SIMBA. Yanga inabebwa na Mzee Mpili kama Mambwa au Nyani mnapiga tu kelele... Simba wanabeba Kombe ninyi mnabeba wachezaji. Hamwezi kuwa na akili.Sawa mbumbumbu FC na mbeleko fc
Afadhali ushabiki maandazi itakula andazi ni chakula. Wewe una ushabiki mavi.😂😂😂Kwangu kuzungumza na mtu ambae anataka kuleta ushabiki maandazi huwa siwezi.. Mie nimezungumzia chance created sababu mada imebase hasa kwenye assist.. Haya niambie huyo tuisila aliluwa anapata nafasi za kufunga ngapi per game!? Ambapo anakuwa si mfungaji sana Tuisila akicheza winga ya kushoto anacheza ile old fashion.. Atleast acheze winga ya kushoto..
Childish article...Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
View attachment 1860679
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sicko
View attachment 1860683
Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?
Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.
Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbio za sakafuni huishia ukingoni, Mapaka nyieeeeLuc Eymael anasema YANGA NI MBWA NA NYANI. HAWANA AKILI. NMEAMINI. MORRISON HACHEZI SIMBA. KACHEZA KAMALIZA LIGI. Sasa mtapewa hoja nyingine mhangaike nayo. Simba mabingwa mara 4 MFULULIZO. CAF,CAS,FIFA WOTE WANAIBEBA SIMBA. Yanga inabebwa na Mzee Mpili kama Mambwa au Nyani mnapiga tu kelele... Simba wanabeba Kombe ninyi mnabeba wachezaji. Hamwezi kuwa na akili.
Huwezi kufanya ulinganisho wa wachezaji wawili wanaocheza nafasi tofauti, hii ni sawa na kufanya ulinganisho kati ya kahaba na malaya, ni watu wawili tofauti ingawa wayatendao yanashabihiana. Chama ni kiungo mshambuliaji (namba 10) wa Simba wakati Tuisila ni winga ya kulia (namba 7) ya Uto, wanamajukumu tofauti.Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
View attachment 1860679
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sicko
View attachment 1860683
Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?
Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.
Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Girlish post.Childish article...
Simba ni Simba siku zote. Ila Mbwa,Nyani na ChuraMbio za sakafuni huishia ukingoni, Mapaka nyieeee
Watopolo hawapendi stori hizi ujue,utarogwa.Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
View attachment 1860679
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sicko
View attachment 1860683
Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?
Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.
Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ally Thuwm ndio alikuwa mtanzania wa kwanza kubeba kiatu tena peke yake 1978Baadhi ya mashabiki wa mbumbumbu fc hawajui kwamba Mrisho Ngasa alikua mfungaji Bora Ligi ya Mabingwa 2014 licha ya timu yake ya Yanga kutofika fainal. Alipachika jumla ya goli 6.
In real sense kisinda na chama wakizidiana saana miak miwili tuTuisila ana miaka 22 bado umri mdogo na ana nafasi kubwa ya kuendelea kua mtamu, ana muda wa kuendelea kuji funza . Chama yeye ndio amefikia kwenye ubora wake na kwa Hali ilivyo Pale Simba ndio amesha maliza Hana nafasi ya kucheza ulaya Wala Timu yoyote kubwa au Ligi yoyote yenye ushindani mkubwa. Anamalizia pensheni yake, Kasi ya uchezaji wake haimpi nafasi ya kucheza kokote kwenye mpira wa nguvu na Kasi. Mfano Siku ambayo anacheza dhidi ya Yanga mpira unakua na Kasi Sana na nguvu kubwa, pale chama uwa anapotea kabisa na mechi za aina hii ndizo zilizopo katika nchi zenye ushindani.
Chama ni mzuri akicheza na hizi timu underdogs lakini hawezi kucheza na hizi timu za kiwango akawa na madharaHuyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
View attachment 1860679
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli mangapi 4 kama sicko
View attachment 1860683
Sasa hapa ndo nachanganyikiwa. HUYU TUISILA KISINDA HUWA ANAKIMBILIA NINI? Maana mbio zake hazina maana sasa. Si bora awe anatembea ana assist magoli na kufunga sometimes kuliko kukimbia kimbia tu kama mwendawazimu?
Kuna tofauti kubwa usajili wa Simba na Yanga. Yanga wanaweza kukusajili tu kwa kuwa una mbio sana. Au una suka rasta au kupaka nywele zako rangi. Lakini Ukisema wewe Mkongo hapo unasajiliwa kwa haraka zaidi. Tofauti na Simba. Wanatulia kwanza wana check..... Kisha wanasajili. Kama walivyofanya kwa Bernard Morrison, Chama, Luis, Bwalya, Mugalu n.k.
Tulikuwa tunakunywa mtori sana. Nyama zimekutwa zipo chini. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CAF wamemchukua katika 11th yao. But sasa Simba imechukua Ubingwa wa VPL. Yanga wamekuwa washindi wa Pili kwa miaka 4 mfululizo Yanga nao ni underdogs. So Yanga wao wana matches mbili tu ktk msimu. Wanapocheza na Simba. Ni kawaida kwa Underdogs kukamia team kubwa ndo maana wakitoka hapo unaona wanakuwa na uchovu bado. Simba Mabingwa wa VPL yenye team 18 na yanga ikiwepo. Na Chama ana assists 15. Yanga kwa nini hamjifunzi? Mnakalia tu uchawi. Nyie kweli Manyani na MambwaUs
Chama ni mzuri akicheza na hizi timu underdogs lakini hawezi kucheza na hizi timu za kiwango akawa na madhara
Wewe kipindi una miaka 22 ulikuwa kama kisinda, yule hakosi 28Tuisila ana miaka 22 bado umri mdogo na ana nafasi kubwa ya kuendelea kua mtamu, ana muda wa kuendelea kuji funza . Chama yeye ndio amefikia kwenye ubora wake na kwa Hali ilivyo Pale Simba ndio amesha maliza Hana nafasi ya kucheza ulaya Wala Timu yoyote kubwa au Ligi yoyote yenye ushindani mkubwa. Anamalizia pensheni yake, Kasi ya uchezaji wake haimpi nafasi ya kucheza kokote kwenye mpira wa nguvu na Kasi. Mfano Siku ambayo anacheza dhidi ya Yanga mpira unakua na Kasi Sana na nguvu kubwa, pale chama uwa anapotea kabisa na mechi za aina hii ndizo zilizopo katika nchi zenye ushindani.
Aisee [emoji848]Umeshaona comment ya watopolo hapo juu no.3,wanakwambia mbio za Kisindi ni kwaajili ya kumkimbiza Onyango na Zimbwe jr tu[emoji23][emoji23],hao ndo mashabiki wa Utopolo jinsi walivyo.
Mmmh [emoji848]Hao ndio wanaoitwa wachezaji machachari.Kwa utopolo anafaa.
Duuuh [emoji3]Oooh.... Hawa hawa waliochukua Ubingwa? Kwa hiyo alisajiliwa ili awe anawapa kadhia Onyango na Zimbwe? Ndo tofauti ya Simba na Yanga ipo hapo. Simba inasajili wachezaji kwa kuangalia matches za kimataifa. Yanga inasajili Kwa ajili ya Simba na Simba inasajili kwa ajili ya Ubingwa na Mashindano makubwa
Eeeeh [emoji848]Washamuona anakimbia kimbia tu bila maana. Chama anaongoza kwa assists na Goals. Tusila Tununu kumbe ni boya tu....
Duuuh [emoji3]Kwa hiyo assist za Chama zimefanywa na TFF? Kuna mada humu inashauri kuacha utani na Yanga. Mada ina hoja maana hamtumii tena akilo
Aiseee [emoji848]Jibu swali, ile mibio ua kisinda mpaka anapitiliza golini ina faida gani kwa yanga?