Hili suala la Tuisila Kisinda na Clatous Chama linanishangaza

Unakumbuka mechi ya nusu fainali kombe la shirikisho alichowafanya ?
 
unajua mada inazungumzia nini ??
maswala ya kusajiliwa nje na maswala ya umri mto mada hajayazungumzia ameongelea maswala ya mbio assist na magoli we unaleta umri sijui kusajiliwa.

upo sawa au umeamua kuandika tuu?
 
Ametengeneza nafasi ngapi za kufunga magoli na chama katengeneza ngapi ?
 
Ukiona hivyo mmoja kaiyao hajui hili

UKUBWA wa Uwanja

1.chama anajua pichi ikoje ndomana hakimbii sana Ila mitegoyake nihatari

Kwa lugha nyingine ukiujua pichi lazima positioning yako inakua zuri
Matokeo yake ndomana hayo yalipelekea tofauti hiyo

2.huyu kisinda hajui uwanja kwamana ya pichi unamita ngapi mana positioning inahitaji ujue eneo

Hivyohivyo ukutaka kugonga mkewamtu kikubwa kuwini kwenye POSITIONING mgongwaji hua hata hajui position ninn

Mwanaume mgongaji ukikosea hapo kwenye positioning

Umekwisha
 
Mwamba futa paragraph ya mwisho Utopolo wakiona hii Kigoma watasumbua sana
 
Ni kweli
 
Mbu mbu mbu mnashida sana,, sasa uwezo wake mdogo na anakimbia hovyo bila faida Wew kama mbumbumbu nini kinakuuma labda..
 
Mbona Messi Na Ronaldo wanalinganishwa?
 

Utamtoa damu muache kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Sheikh utamtoa damu huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…