Hili suala la vitambaa vya unahodha kwenye ligi ya uingereza kuwa na rangi ya Rainbow ni kwamba ligi hii inasimama na mashoga ama imekuaje

Hili suala la vitambaa vya unahodha kwenye ligi ya uingereza kuwa na rangi ya Rainbow ni kwamba ligi hii inasimama na mashoga ama imekuaje

ustukane mamba kabla ya kuvuka mtu, ss kama wazaz wa badae ama tumeshakuwa wazaz tayari tuweke akiba ya maneno. Jifunze kuwa na hekima kubwa katka kuzngumza, hakuna mzaz au ndg anyependa jambo lislo la kawaida limtokee.

ss sote s wakamilifu tujarbu kujizuia katka mazngmzo yetu, hujafa hujaumbika lolote linaweza kutokea. Sjawah kudharau uamuz wa mtu, kam me snyw pombe haimaanish nichukie walev au nisiambatane nao.

Tuheshmu maamuz ya kila mtu maana ana uhuru wake, dunia n yetu sote na wakutuhukumu n Mungu peke yake na s mwngne yeyote.
 
sikuwah kujua rainbow colors n rang yakibwabwa je n nan huwa wanatunga hiz rang kuwa rang flan n za machoko
 
Wajuzi wa mambo naombeni mnisaidie maana leo nilipokuwa natizama mechi mbalimbali za ligi ya uingereza nimeshangazwa sana na vitambaa vya unahodha vikiwa na rangi hiyo.

Hapa tuseme hawa watu wanaoshughulika na mapenzi ya jinsia moja ndio wamehalalishwa tayari ama limekaaje hili suala.

Tazama picha ya Bruno Fernandez akiwa kavalia kitambaa chenye rangi ya upinde wa mvua.

View attachment 2026518

Screenshot_20211129-140456_Twitter.jpg


Screenshot_20211129-132657_Twitter.jpg
 
Kwa nini yasitokee maandamano dunia nzima kupinga ushoga? Ushoga ni tishio kwa familia zenye maadili
 
Back
Top Bottom